Barua kwako dada Josephine Mushumbusi

Barua kwako dada Josephine Mushumbusi

Nonsense
Hekima ni kitu cha muhimu sana katika maisha ya mwanadamu. Kwanini hadi leo anatenda dhambi bila ya kufunga ndoa na dr.??
Queen Esther
 
Last edited by a moderator:
Gwajima ametubu kwa Mbasha???

Queen Esther

Ushauri wa kwanza kwa Josephine siyo kutolewa mapepo Bali ni kwa yeye kutubu dhambi zake zote na kuamua kuziacha na amkaribishe Yesu katika maisha take kama Bwana na mwokozi wake!
Akilifanya hilo kwa dhati mapepo lazima yaondoke na ni rahisi kufanyiwa HUDUMA hiyo.
Halafu aache kuingilia ndoa ya Rose Kamili. Bila toba ya kweli mapepo hayatoki!!! Chakula cha mapepo ni dhambi!!!
 
Yawezekana ulikuwa na lengo nzuri ila umekosea uwasilishaji!

Ushaur wako kwa Josephine ni juu ya Gwajima zaid kuliko maisha yake ya hapa duniani (unamchukia Gwajima)

Mshauri aachane kwanza na mume wa mtu na amrudie mume wake halali hapo ndipo maisha yake yataenda sawa! Vinginevyo sahau!

Yanayoendelea sasa katika ulimwengu wa roho hiyo ni laana ya kiapo chake cha ndoa! Bila kutubu na kumrudia mumewe asahau!
Mtamuona mbaya kila mtu! (Kama kweli unamuombea basi muombee rehema kwanza )

Siku zote alipokuwa na Mch. Gwajima hakumuombea hilo???? Basi atakuwa mchungaji wa ajabu.

Queen Esther
 
Ungemsemshauri yeye na mchumba wake waache uzinzi. wakamuombe radhi Rose Kamili na familia yake, ndipo wafunge ndoa. Hayo sijui ya "afunike mapepo na damu ya Yesu" ni porojo tu hizo. Moyo wenye toba ndio makao ya Bwana Yesu wala sio vinginevyo.
 
Aliye msafi na awe wa kwanza kumrushia jiwe Josephine.

Suala la uzinzi kwenye ndoa za watu wengi ni bayana. Ni wanawake wangapi wamezaa watoto nje ya waume zao?? Refer ripoti ya DNA Test ya mkemia mkuu wa Serikali. Je ni wanaume wangapi wamezaa nje ya ndoa na wengine hata wake zao hawajui???

Kwanini ngoma inapigwa upande mmoja.

Pia sitaki kujadili personal life ya Dr. Slaa; issue hapa ni SPIRITUAL MANIPULATION" za huyu anayejiita mtumishi wa Mungu.

Queen Esther
Nina uhakika wengi tunaoshauri si wasari wa rohoni. Ila wewe umeingiza mambo ya rohoni kwa mtu ambaye siyo msafi rohoni! Tatizo jingine unapokuwa public figure lazima uwe mwangalifu kwa maneno na matendo yako.
 
Gwajima ni msemakweli daima. Hajaanza leo wala hataishia hapo. Dr mihogo hakuwa na 7bu ya kumkashfu Gwajima siku ile alichotakiwa kusema ni kwamba "nimejiuzulu kwa7bu sikubaliani na ujio wa Edward et al kwakuwa sina imani nao kutokana na A, B, C. Sasa yeye akaja na mipasho mara oh mshenga, mara nimeambia wamehongwa. Mtu mzima hawezi kuropoka maneno ya kusikia bila kufanya utafiti japo kidogo. SIMHURUMII DR. Kwakuwa Anastahili kudhalilishwa kama alivowadhalilisha maaskofu bila chembe ya ushahidi.
 
Safari hii mtaimba kila aina ya wimbo, hata huyo aliyepo magogoni naye anatumia nguvu za giza. Niambie ni mwana siasa yupi wa ccm aliyepo madarakani kuanzia ngazi ya udiwani mpaka uraisi hajapitia kwa kalumanzila?

Kwa kuanzia niakupe mfano mkubwa, mgombea wako wa uraisi aliisha pitia Samunge kwa babu kugonga kikombe.

Na juzi Mwenyekiti wa Chama Chetu katoa kafara ya watu 2 huko Morogoro, akaahidi kupanua hospitali ili waongeze majeruhi wengi zaidi ya wale waliopelekwa hospitali!
 
Biblia inasema uzinzi usitajwe kati yenu.
Je uzinzi aliotuhumiwa nao Gwajima hujauona?
Mbasha ameomba mtoto akapimwe DNA Test. Mbona Flora amekataa???

Hiyo nakala ya cheti cha ndoa weka hapa kila mtu akione.

Queen Esther
Anzisha uzi wa uzinzi wa Gwajima nae tumchane kama ulivyoanzisha uzi kwa Josephine.
 
Siku zote alipokuwa na Mch. Gwajima hakumuombea hilo???? Basi atakuwa mchungaji wa ajabu.

Queen Esther

Dada hata aje malaika akuombee!
Kama imani ndani ya moyo wako haipo na hautubu kwa kumaanisha kutoka moyoni ni kazi bure!

Nimekwambia umuombee maana unaonesha uko pamoja naye!

Dhambi ya uzinzi ndo inayowatesa hao hakuna kingine kila mmoja hapo mwenza wake analia juu yake! Bado watoto!

Tisa kumi mwingine kakimbia madhabau ya Bwana! Mtashika watu uchawi bure lakn hao wana laana
 
Chamsingi arudi kwa mumewe, tamaa ya kuishi na mtu maarufu huwa ina mwisho wake, huyu alizania slaa atakuwa rais na yeye awemtu maharufu duniani, soon amekuja kugundua hakuna jipya....na sasa shetani amemuinamia na kumuongoza asikojua. Kwanza kumuacha mumeo, pili kupata mapepo tatu kujidhalilishi hadharani kupitia slaa na ugomvi wake na chadema...soon mama unavuliwa nguo, yanaweza kuanza kutoka hata ya ndani kabisa ambayo hayastahili kuja nje...muombe mungu sana na urudi kwa mumeo...the sooner the.......
 
Naomba nakala ya cheti cha ndoa kati ya Slaa na Rose.

Pia hukumu ni ya Mungu. Hoja yangu hapa ni kiongozi wa dini kutumia spiritual
Dada mm binafs niliahaomba na Mungu kanionesha lowassa...haya mengne ni mambi ya kupita tu ila rais ni lowassa na si gwajima
 
Josephine mke mke wa mtu,Slaa mme wa mtu.Hakuna utukufu wowote hapo.
 
Khaa!! Hoja kuu ilikuwa ni LOWASSA HAFAI KUWA RAIS KWA SABABU NI FISADI lakini mnaleta majibu ya kitoto sana

Slaa aliwaambia ajisafishe si zugazuga ...wakabaki wanarukaruka ....nipeni list ya hao wabunge anaokuja nao ili tujue ni Asset au Liability....wakarukaruka ...... walivyoona ngoma nzito wanaeneza propaganda eti Josephine ndio kamkataza .....CDM yenye damu za watu imeuzwa kirahisi rahisi tu ...
 
ukiwa na mke wa mtu na unatambua mumewe yupo ni kosa kubwa sana hata shetani anakimbia na kujificha bahari ya saba kwa nini umevunja hamri za mungu
 
Back
Top Bottom