Barua kwa John Pombe Magufuli

Barua kwa John Pombe Magufuli

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,959
Reaction score
13,429
1766512716454.png

JohPombe Magufuli Jiwe,

Nikiri. Najua hutasoma barua hii. Najua wafuasi wako wataisoma. Naandika kwa hasira na uchungu. Yote ni kutokana na uliyotufanyia. Uliachia maumivu. Wapo wanaoumia tokana na pengo uliloacha. Pia, wapo wanaoumia kwa sababu ya ubaya ulioacha.

Bwana John, ni vigumu kwangu kukuelezea ilivyo. Ulikuwa kama kitunguu. Kikitumika kuungia mboga, kila mtu ataipenda. Ila kikupasukia machoni, utakichukia na kujutia. Ulijenga miundo mbinu na kuwabana wapigaji ilhali ukiruhusu machawa wako kupiga na kuumiza. Mkumbuke Bashiti wako. Uliumiza wengi ulipoanzisha utekaji, upotezaji, na uuaji. Ulilite uchawa kwenye serikali yako na nchi yetu. Unakumbuka namna Bashungwa alivyokupigia magoti ukampa uwaziri? Hapa, ndipo chanzo cha uchawa kilipo.

Ulifurahisha na kukasirisha wengi. Uliiokoa na kuumiza wengi. Ulituachia mijitu ya hovyo ambayo, kwa sasa, imegeuka kansa kwa taifa. Uliua kwa siri. Haya majitu yako yaua wazi wazi. Ulikembea mabeberu na kuamua kujitegemea kama taifa. Mijitu yako inawakemea siyo kwa kutaka tujitegemea bali kwa kuambiwa ukweli.

John, iwe ni kwa bahati mbaya au makusudi, ulituumiza. Madhara ya sera na siasa zako yatachukua miaka kuondoka. Ulichofanya siyo cha kujivunia wala kufurahia bali kulaaniwa hata kama haupo.

Wapo wanaokuona u mwamba kama Mwalimu Nyerere. Naye alituachia viiio kwa kujenga mfumo wa kifalme huku akijifanya kujali watu na mjamaa. Kama Nyerere, ulifanya mema na mabaya karibia sawa kiasi cha kushindwa kukuita shujaa.

Ulijiinua na kutuangusha. Na mijitu yako inasoma kitabu kile kile. Ulituganya wanyonge. Mijitu yako imetufanya machawa.

Tunapomaliza mwaka, sitaki niandike mengi. Ila huko uliko, ujue. Umetuachia maumivu na uchafu ambavyo, licha ya kutugharimu na kutuumiza, vitachukua miaka mingi kuviondosha.
Rest in Trouble John Pombe Magufuli.
 
View attachment 3519648
JohPombe Magufuli Jiwe,

Nikiri. Najua hutasoma barua hii. Najua wafuasi wako wataisoma. Naandika kwa hasira na uchungu. Yote ni kutokana na uliyotufanyia. Uliachia maumivu. Wapo wanaoumia tokana na pengo uliloacha. Pia, wapo wanaoumia kwa sababu ya ubaya ulioacha.

Bwana John, ni vigumu kwangu kukuelezea ilivyo. Ulikuwa kama kitunguu. Kikitumika kuungia mboga, kila mtu ataipenda. Ila kikupasukia machoni, utakichukia na kujutia. Ulijenga miundo mbinu na kuwabana wapigaji ilhali ukiruhusu machawa wako kupiga na kuumiza. Mkumbuke Bashiti wako. Uliumiza wengi ulipoanzisha utekaji, upotezaji, na uuaji. Ulilite uchawa kwenye serikali yako na nchi yetu. Unakumbuka namna Bashungwa alivyokupigia magoti ukampa uwaziri? Hapa, ndipo chanzo cha uchawa kilipo.

Ulifurahisha na kukasirisha wengi. Uliiokoa na kuumiza wengi. Ulituachia mijitu ya hovyo ambayo, kwa sasa, imegeuka kansa kwa taifa. Uliua kwa siri. Haya majitu yako yaua wazi wazi. Ulikembea mabeberu na kuamua kujitegemea kama taifa. Mijitu yako inawakemea siyo kwa kutaka tujitegemea bali kwa kuambiwa ukweli.

John, iwe ni kwa bahati mbaya au makusudi, ulituumiza. Madhara ya sera na siasa zako yatachukua miaka kuondoka. Ulichofanya siyo cha kujivunia wala kufurahia bali kulaaniwa hata kama haupo.

Wapo wanaokuona u mwamba kama Mwalimu Nyerere. Naye alituachia viiio kwa kujenga mfumo wa kifalme huku akijifanya kujali watu na mjamaa. Kama Nyerere, ulifanya mema na mabaya karibia sawa kiasi cha kushindwa kukuita shujaa.

Ulijiinua na kutuangusha. Na mijitu yako inasoma kitabu kile kile. Ulituganya wanyonge. Mijitu yako imetufanya machawa.

Tunapomaliza mwaka, sitaki niandike mengi. Ila huko uliko, ujue. Umetuachia maumivu na uchafu ambavyo, licha ya kutugharimu na kutuumiza, vitachukua miaka mingi kuviondosha.
Rest in Trouble John Pombe Magufuli.
Huu ni upumbavu, mtu ameshafatiki miaka 5 iliopita bado mnamuwaza tu. Kwani mnasdhindwa kutekebisha palipoharibika. Mbona mambo mnayotaka kubad8lisha yanabadilika within a night. Tukubali tu magu ashafariki tupambane na hali tulionayo. Kutaja mazuri au mabaya ya tawala zilizopita haisaidii
 
Kulalamika ni dalili kubwa umekwishakubali kufeli na umekwama.

Hakuna wa kuja kukuokoa zaidi yako mwenyewe.

Acha kulia lia. Magu amemaliza safari yake kuendelea kumsakama hakuta badili jambo lolote kamwe.
 
View attachment 3519648
JohPombe Magufuli Jiwe,

Nikiri. Najua hutasoma barua hii. Najua wafuasi wako wataisoma. Naandika kwa hasira na uchungu. Yote ni kutokana na uliyotufanyia. Uliachia maumivu. Wapo wanaoumia tokana na pengo uliloacha. Pia, wapo wanaoumia kwa sababu ya ubaya ulioacha.

Bwana John, ni vigumu kwangu kukuelezea ilivyo. Ulikuwa kama kitunguu. Kikitumika kuungia mboga, kila mtu ataipenda. Ila kikupasukia machoni, utakichukia na kujutia. Ulijenga miundo mbinu na kuwabana wapigaji ilhali ukiruhusu machawa wako kupiga na kuumiza. Mkumbuke Bashiti wako. Uliumiza wengi ulipoanzisha utekaji, upotezaji, na uuaji. Ulilite uchawa kwenye serikali yako na nchi yetu. Unakumbuka namna Bashungwa alivyokupigia magoti ukampa uwaziri? Hapa, ndipo chanzo cha uchawa kilipo.

Ulifurahisha na kukasirisha wengi. Uliiokoa na kuumiza wengi. Ulituachia mijitu ya hovyo ambayo, kwa sasa, imegeuka kansa kwa taifa. Uliua kwa siri. Haya majitu yako yaua wazi wazi. Ulikembea mabeberu na kuamua kujitegemea kama taifa. Mijitu yako inawakemea siyo kwa kutaka tujitegemea bali kwa kuambiwa ukweli.

John, iwe ni kwa bahati mbaya au makusudi, ulituumiza. Madhara ya sera na siasa zako yatachukua miaka kuondoka. Ulichofanya siyo cha kujivunia wala kufurahia bali kulaaniwa hata kama haupo.

Wapo wanaokuona u mwamba kama Mwalimu Nyerere. Naye alituachia viiio kwa kujenga mfumo wa kifalme huku akijifanya kujali watu na mjamaa. Kama Nyerere, ulifanya mema na mabaya karibia sawa kiasi cha kushindwa kukuita shujaa.

Ulijiinua na kutuangusha. Na mijitu yako inasoma kitabu kile kile. Ulituganya wanyonge. Mijitu yako imetufanya machawa.

Tunapomaliza mwaka, sitaki niandike mengi. Ila huko uliko, ujue. Umetuachia maumivu na uchafu ambavyo, licha ya kutugharimu na kutuumiza, vitachukua miaka mingi kuviondosha.
Rest in Trouble John Pombe Magufuli.
Chai
 
Huu ni upumbavu, mtu ameshafatiki miaka 5 iliopita bado mnamuwaza tu. Kwani mnasdhindwa kutekebisha palipoharibika. Mbona mambo mnayotaka kubad8lisha yanabadilika within a night. Tukubali tu magu ashafariki tupambane na hali tulionayo. Kutaja mazuri au mabaya ya tawala zilizopita haisaidii
Ni kweli. Kwa wapumbavu huu ni upumbavu. Ila kwa wenye akili na kumbukumbu, ni madini tosha.
 
Afadhali mtu aliyefanya hayo unayoyasema ila alisimama upande wa watanzania na wanyonge, akajenga na kufufua uchumi kila mmoja akashuhudia na kurejesha ari na uzalendo watu wakaipenda nchi yao. Huyu aliyeko hakuna cha maana alicho/anachofanya na hayo mabaya yote unayoyasema yeye amefanya mara elfu zaidi ikiwemo kuua watu wengi kuliko waliokufa kwenye vita ya kagera.
 
Kama kuna kazi ngumu mtu anaweza kufanya ni kujaribu kumchafua JPM mbele ya raia hasa wa hali ya chini. Ni hichi ndicho kilichofanys upinzani kupungua nguvu enzi za JPM.
Ni kweli kabisa. Pia, ni vigumu kufumbia macho mazuri na mabaya yake.
 
Back
Top Bottom