rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,211
- 20,201
Kutokuwa na chama hakumzuii mtu kuwa na mgombea wake wa urais ukichukua idadi ya wanachama wa vyama vyote na watu waliopiga kura utagundua wasio na vyama ni wengi kuliko wapiga kura.
Vyama vingi vina washabiki havina wanachama wasijidanganye na idadi ya wanaonunua kadi za uwanachama kwani wengi wao ama wamevutwa na mtu binafsi au maneno ya viongozi wa vyama lakini wengi hawajui sera wala itikadi za vyama vyao ndio maana kila siku tunasoma na kusikia watu wamehama vyama vyao.
Matatizo ya CCm yalianza pale walipoanza kugawa kadi kiholela badala ya mtindo ulikuwepo wa kutoa mafunzo ya miezi 3 na baadae kupewa mitihani mtindo huu ambao ulianzishwa na Mrema alipokuwa waziri wa mambo ya ndani umeendelea na utaenendelea kukigharimu chama tawala kwani ulibeba mamluki na watu walioingizwa kwa malengo maalumu(wanamtandao) na ndio iliyochangia CCM kufanya vibaya kwenye chaguzi za wabunge kwenye uchaguzi mkuu uliopita mkakatui uliotengenezwa mahsusi na aliyekuwa katibu mkuu Makamba.
Nawashauri pamoja na kampeni wanazoendesha cdm na kupata wanachama wangewafundisha wajue nini itakadi na sera za cdm ili wawe tayari kuzieneza na kuzitekeleza bila hivyo yatawakuta yaliyowakuta ccm sasa hivi wanaweza kujikuta wanapokea watu ambao wameingia kwa nia fulani ambayo si nzuri kwa chama chao
Vyama vingi vina washabiki havina wanachama wasijidanganye na idadi ya wanaonunua kadi za uwanachama kwani wengi wao ama wamevutwa na mtu binafsi au maneno ya viongozi wa vyama lakini wengi hawajui sera wala itikadi za vyama vyao ndio maana kila siku tunasoma na kusikia watu wamehama vyama vyao.
Matatizo ya CCm yalianza pale walipoanza kugawa kadi kiholela badala ya mtindo ulikuwepo wa kutoa mafunzo ya miezi 3 na baadae kupewa mitihani mtindo huu ambao ulianzishwa na Mrema alipokuwa waziri wa mambo ya ndani umeendelea na utaenendelea kukigharimu chama tawala kwani ulibeba mamluki na watu walioingizwa kwa malengo maalumu(wanamtandao) na ndio iliyochangia CCM kufanya vibaya kwenye chaguzi za wabunge kwenye uchaguzi mkuu uliopita mkakatui uliotengenezwa mahsusi na aliyekuwa katibu mkuu Makamba.
Nawashauri pamoja na kampeni wanazoendesha cdm na kupata wanachama wangewafundisha wajue nini itakadi na sera za cdm ili wawe tayari kuzieneza na kuzitekeleza bila hivyo yatawakuta yaliyowakuta ccm sasa hivi wanaweza kujikuta wanapokea watu ambao wameingia kwa nia fulani ambayo si nzuri kwa chama chao