NANCA
Member
- Jun 23, 2023
- 92
- 100
Yani CHADEMA sijui wanalogagwa na nani, yaani wakati wa kufanya mapambano ili kushinda uchaguzi unakuta wametulia na wakati wa kutulia ili kuunga gurudumu la maendeleo unakuta wanapambana.
Yani hawatofautiani na mwanamke mkorofi ambapo hutulia bwana anapokosa hela na huanzisha vurugu bwana anapopata hela.
Hivi zile amshaamsha za miaka mitano tangu 2015 hasi 2020 Kama wangezifanya sasa hadi kufikia hiyo 2025 si wangekua washajizolea urais.
Mi nadhani mbowe mwenyewe achunguzwe huwenda ni pandikizi la CCM maana haiwezekani nyakati za tonge anaanza zengwe mara atimue zitto, mara amwite lowasa, mara atimue slaa, mara lipumba, yani yy nyakati za kuungana ndo anaanza vibweka.
Haya badala sasa hivi kuamsha moto Kama wa 2015 na 2020 yy yuko kimyaaaaaa Kama chungu cha bibi, huwenda huyu jamaa ananufaika na kushindwa kwa CHADEMA.
Na msipo angalia yaani msipo angalia 2025 anaweza kuwaambia msusie uchaguzi kisa katiba mpya na mlivyo mabox mtasema kamanda amesema.
Najua CHADEMA mtanitupia mawe maana huyo jamaa kawapiga na kimbola cha kilindi cha bahari.
Yani hawatofautiani na mwanamke mkorofi ambapo hutulia bwana anapokosa hela na huanzisha vurugu bwana anapopata hela.
Hivi zile amshaamsha za miaka mitano tangu 2015 hasi 2020 Kama wangezifanya sasa hadi kufikia hiyo 2025 si wangekua washajizolea urais.
Mi nadhani mbowe mwenyewe achunguzwe huwenda ni pandikizi la CCM maana haiwezekani nyakati za tonge anaanza zengwe mara atimue zitto, mara amwite lowasa, mara atimue slaa, mara lipumba, yani yy nyakati za kuungana ndo anaanza vibweka.
Haya badala sasa hivi kuamsha moto Kama wa 2015 na 2020 yy yuko kimyaaaaaa Kama chungu cha bibi, huwenda huyu jamaa ananufaika na kushindwa kwa CHADEMA.
Na msipo angalia yaani msipo angalia 2025 anaweza kuwaambia msusie uchaguzi kisa katiba mpya na mlivyo mabox mtasema kamanda amesema.
Najua CHADEMA mtanitupia mawe maana huyo jamaa kawapiga na kimbola cha kilindi cha bahari.