Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,062
- 10,354
Ndugu yangu Ben Saanane tuseme na kubakisha... Huyu Lowassa ndiye eventually atakuwa mgombea wa UKAWA... hivyo tusimchafue... sana tukakosa cha kusema huko Mbeleni.
Tunasema hiyo Nyumba huko uingereza itaifishwe.mtoto babake kamfundisha wizi.Naendelea kuamini kua membe is poor and weak leader hii stor aliitengeneza 2009 baada ya kuskia JK anampa lowasa uwazri wa Tamisem akampa riz pesa akahakkshe jina la lowasa linaondolewa ktk list ya mawaziri kwa sababu aliofia lowasa akipewa uwazri wa Tamisemi atajiimarsha kwenye mbio za urais akatengeneza stor kumchafua lowasa kupitia mtoto wake fred ambaye anafanya clean bussness kuptia Vodacom tofaut na wengne wanafanya dirty busnes kama kuuza unga....lowasa ndiye chaguo letu watanzania
Huyu aliyeileta hii, ameileta kwa sababu ndiyo aliyokuwa nayo hadi sasa. Yeye anaamini kuwa huyu LOWASSA bado hajasafishwa, maana hajaiona hiyo nyingine ya kumsafisha LOWASSA. Cha msingi ni hiki: kama wewe unayo hiyo nyingine ambayo imemsafisha LOWASSA, basi ilete jamvini tuione. Huwezi kusema LOWASSA alishasafishwa bila kutuwekea barua ya kumsafisha. Swala jingine kuhusu "For Intelligence Use Only": Ni nani aliyekuambia kuwa kila lililo la siri basi ni la siri? Litakuwa la siri kama limeendelea kuwa la siri, bali likishabumburuka kwa watu haliwi la siri tena. Hata kama limeandikwa ni la kiintelijensia, basi nasi tunakuwa sehemu ya intelijensia hiyo maana tumeshalifahamu tayari! Acha ushabiki, kuwa na uchungu kwa taifa lako Mkuu.Barua hii ni mawasiliano ya kinteligensia kati ya vyombo viwili. Ndio maana imeandikwa kabisa "for intelligence use only". Hii barua imevujishwa na watu wenye malengo yao binafsi. Haikulengwa kwa jamii. Hivyo hata majibu yake yatarudi kwa aliyeandika. Kama wewe unataka kujua kuhusu majibu yake unatakiwa kumuuliza huyo aliyeivujisha hii. Mimi nadhani huyo aliyevujisha hataki kuvujisha mrejesho wa barua hii kwa sababu naamini uchunguzi UMEMSAFISHA mtuhumiwa! Badala yake anapendelea ibaki hii hii moja ili watu waendelee kuwa na mashaka na lowassa.
Uingereza hawana mchezo kama tuhuma hizi zingekuwa za kweli kingeshanuka zamani. Hakuna kitu hapo.
ACT hawapo UKAWA ingawa wana hamu ya kujiunga!!Ndugu yangu Ben Saanane tuseme na kubakisha... Huyu Lowassa ndiye eventually atakuwa mgombea wa UKAWA... hivyo tusimchafue... sana tukakosa cha kusema huko Mbeleni.
acha PROPAGANDA zako wewe! hii barua ipo kitambo tu humu JF, miaka sita imepita hakuna chochote kilichothibitishwa
ila nashukuru kama CHAGADEMA mnamtambua kuwa EL ndio mgombea wa chama tawala
Huyu aliyeileta hii, ameileta kwa sababu ndiyo aliyokuwa nayo hadi sasa. Yeye anaamini kuwa huyu LOWASSA bado hajasafishwa, maana hajaiona hiyo nyingine ya kumsafisha LOWASSA. Cha msingi ni hiki: kama wewe unayo hiyo nyingine ambayo imemsafisha LOWASSA, basi ilete jamvini tuione. Huwezi kusema LOWASSA alishasafishwa bila kutuwekea barua ya kumsafisha. Swala jingine kuhusu "For Intelligence Use Only": Ni nani aliyekuambia kuwa kila lililo la siri basi ni la siri? Litakuwa la siri kama limeendelea kuwa la siri, bali likishabumburuka kwa watu haliwi la siri tena. Hata kama limeandikwa ni la kiintelijensia, basi nasi tunakuwa sehemu ya intelijensia hiyo maana tumeshalifahamu tayari! Acha ushabiki, kuwa na uchungu kwa taifa lako Mkuu.
Mbona mnakuwa na mihemko ya kishabiki sana? Hata kama hiyo barua nia ya mwaka 1990, kama bado ina jambo lihusulo maslahi ya Watanzania bado inatakiwa kuzungumziwa. Achane ushabiki wa vyama, tuweni Watanzania kwelikweli. Wewe ungeshusha hoja zako kutuonyesha kuwa kwa nini unadhani kuwa haina umuhimu tena kwa mustakabali wa nchi yetu.
Bado na wewe ni walewale wajadilio mambo kwa mihemko! Soma tena maoni yangu utaelewa vizuri wewe Mr. Zero! Watu hamwelewi Kiswahili, mkiandikiwa Kiingereza si ndo mtaingia chaka kabisa!Kweli ukipenda hata chongo unaona kengeza ......................... This letter is clearly dated 21st of May 2009. Where the hell did you get that F%$#n 1990!!? Hivi 1990 Lowasa alikuwa ni Former PM!!?
Kwa vile serikali haijatupa majibu basi kuna haja ya kufuatilia ili ukweli ujulikane. Si huwa mnadai siyo Fisadi, sasa tuambieni hizo pounds amezitoa wapi!!?
Ndugu yangu Ben Saanane tuseme na kubakisha... Huyu Lowassa ndiye eventually atakuwa mgombea wa UKAWA... hivyo tusimchafue... sana tukakosa cha kusema huko Mbeleni.
Kweli ukipenda hata chongo unaona kengeza ......................... This letter is clearly dated 21st of May 2009. Where the hell did you get that F%$#n 1990!!? Hivi 1990 Lowasa alikuwa ni Former PM!!?
Kwa vile serikali haijatupa majibu basi kuna haja ya kufuatilia ili ukweli ujulikane. Si huwa mnadai siyo Fisadi, sasa tuambieni hizo pounds amezitoa wapi!!?
Ndio hao hao walio mstari wa mbele kutuletea hili liFISi lije kuendeleza alipoishia Mr Dhaifu na hivyo tuishe kabisa!!! Kwa nini watu wanag'ang'ania mafisi yale yale, wizi ule ule, mambo yale yale, mawazo na fikira zile zile..? Wabongo aliyetuloga alikwishafariki na hakuna wa kutulogoa!huo mwaka 1990 katolea mfano.mbona hamtulii mkasoma mkaelewa papara za nini?