jojipoji koromije
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 991
- 1,412
Huu ni ubabe wa kipuuzi na kama unao hata wewe jua una ubabe wa kipuuzi!!
Hapana. Mimi nimestaarabika; Ila ubabe wa mwenzetu!!! Da!!! Hapana aisee!! Mpaka tunahisi huyu jamaa labda asili yake siyo huku kwetu koromije!!!!