Barrick yaweka masharti kulipa Dola milioni 300

Zito kauliza swali zuri sana nani mmiliki wa madini pale ardhini, jibu linapatikana kwenye mkataba.
Sasa kama mkataba unasema kilichopo ardhini ni mali white man imekula kwetu muwape makinikia yao.

Jamaa wanaangalia mkataba unasemaje.

Sizonje lazima adili na mikataba vinginevyo atakuwa anatwanga maji kwenye kinu.
 
Mkuu Pascal Mayalla, ndo maana kwenye ile thread yako niliandika:
Aidha, wacha niseme kidogo kuhusu hilo la USD 300 Million! Hizo USD 300M naziogopa kama ukoma!!! Hofu yangu isiwe ni janja ya Barrick Gold kutaka hatimae waruhusiwe kuuza makinikia na wakichachukua chao; wafungashe virago na kutuachia maandaki yetu!!!
Na uuzaji wa makinikia ni muhimu sana kwa hivi sasa ili waweze kufunga mahesabu ya mwaka vizuri or else, income statement ya Acacia itaathirika kwa angalau 25% of the total revenue.
 
Wazungu bila aibu wala kupepesa macho bado wanaendelea kuyaota makinikia. Wanataka waruhusiwe kuyasafirisha nje kama sharti la kutupa ile waliyoiita "kuonyesha nia njema" yaani zile sh bilioni 700. Hii inadhihirisha kuwa walikuwa wanatupiga sana kupitia makinikia. Na ile bilioni 700 wamejifunua kuwa si kuonyesha nia njema! Huwezi kuonyesha nia njema kwa mashrti! Yaani tuwaruhusu wabebe makinikia yenye matrilioni ya dhahabu kwa ulaghai Wa 700B, no way! Hawa wanastahili kukemewa! Ikiwezekana tusiikubali hiyo "nia njema" maana inakuja na masharti!
 
Hakuna cha bure sasa.
Wauziwe mchanga kwa bei ya dhahabu kama hawakutuona machizi wakaondoka kabisa.
 
Sisi tusubiri utekelezaji wa makubaliano...hayo mengine wataongea wao kwa wao
 
Wazungu bila aibu wala kupepesa macho bado wanaendelea kuyaota makinikia. Wanataka waruhusiwe kuyasafirisha nje kama sharti la kutupa ile waliyoiita "kuonyesha nia njema" yaani zile sh bilioni 700. Hii inadhihirisha kuwa walikuwa wanatupiga sana kupitia makinikia. Na ile bilioni 700 wamejifunua kuwa si kuonyesha nia njema! Huwezi kuonyesha nia njema kwa mashrti! Yaani tuwaruhusu wabebe makinikia yenye matrilioni ya dhahabu kwa ulaghai Wa 700B, no way! Hawa wanastahili kukemewa! Ikiwezekana tusiikubali hiyo "nia njema" maana inakuja na masharti!


Issue ni kwamba wanataka kuruhusiwa kubeba makinikia ili wakayauze nje na faida watakayopata ndiyo waichote kutulipa zile fidia za 700B. Wazungu bado wanafikiri waafrika kuwa ni wajinga, ujinga huu wamuhusishe na Zitto siyo sie tujuavyo vitu. Rais Magufuli kaza buti, usiwaruhusu hawa wazungu kuchukua makinikia kwani wanataka kutuchezea akili ila komaa nao watanzania wapuuzi dizani ya Zitto wanaotusaliti kimakusudi.
 
Wazungu bila aibu wala kupepesa macho bado wanaendelea kuyaota makinikia. Wanataka waruhusiwe kuyasafirisha nje kama sharti la kutupa ile waliyoiita "kuonyesha nia njema" yaani zile sh bilioni 700. Hii inadhihirisha kuwa walikuwa wanatupiga sana kupitia makinikia. Na ile bilioni 700 wamejifunua kuwa si kuonyesha nia njema! Huwezi kuonyesha nia njema kwa mashrti! Yaani tuwaruhusu wabebe makinikia yenye matrilioni ya dhahabu kwa ulaghai Wa 700B, no way! Hawa wanastahili kukemewa! Ikiwezekana tusiikubali hiyo "nia njema" maana inakuja na masharti!
Sheria iliyotungwa na bunge na kupitishwa kwa vigelegele ndiyo bungeni na wabunge wa ccm ndiyo inawaruhusu kufanya hivo.wakati akina tundu lisu wanapigia kelele hii ishu waliambiwa siyo wazalendo wanania ya kichonganisha serikali na wawekezaji leo
 
Magu anatakiwa akaze hasa akiteteleka tu bas tena...wapuuzi na wakatishaji tamaa kama lissu tupa kule...na wasaliti kama zitto weka pembeni...hata ikibidi kunyonga mtu kwnye hii issue anyonge tu mana hamna namna nyingine ya kujinasua...mikataba ya miaka 100 et unafata sheria..ni uzwazwa mkubwa
 
Mwanzoni mlisema kwenye hiyo michanga hakuna kitu, sasa hivi baric wanalilia huo mchanga, alafu bado mnakuja na maneno ya Lisu kasema!
You either have a poor understanding or you didn't hear what Hon. Lissu (M.P) said about the concentrates
 
Navyomjua Magu Muda Si Mrefu atatangaza kuitaifisha migodi yote. Subirini muone!!!! Huyu Mkoromije bado ana ubabe wa kisukuma ambao ni asili yetu. Hatupendi madharau especially pale tunapokuwa na madaraka!!!

Labda kama unataka wasukuma wote muuzwe kulipia gharama za kuvunja mikataba halali ya kisheria.....

Hata kama awe mbabe kama mnyama Nyati , hilo hataliweza na hawezi kamwe kulifanya pasipo kufuata taratibu za kisheria!!

Tumeshindwa kutaifisha mitambo ya kitapeli ya kufua umeme ya kishikaji tu ya IPTL ama Richmond/Dowan, ataweza hili fupa lililomshinda fisi.....kutaifisha mitaji na mali na uwekezaji wa mabeberu ktk sekta ya madini?
 
Si muwape Wachina? Tatizo ni kwamba mkifanya hivyo hamtaambulia hata asilimia kumi ya mnazopata hivi sasa kutoka kwa hao mnaowaita wezi halafu mnakaa nao mezani kutafuta muafaka...wajinga ndio waliwao!
 
Si muwape Wachina? Tatizo ni kwamba mkifanya hivyo hamtaambulia hata asilimia kumi ya mnazopata hivi sasa kutoka kwa hao mnaowaita wezi halafu mnakaa nao mezani kutafuta muafaka...wajinga ndio waliwao!
Yani kuwapa wachina ni sawa na kuruka mkojo halafu ukanyage mavi.
 
Maigizo tu mwisho wa siku hayo makontena yenye Dhahabu na madini mengine ya Wizi lazima yasafirishwe. Hiyo dola mil 300 inatoka humo humo, then Tunaendelea kudanganyana na kuendelea kuita press conference za kuwapumbaza wa Tz
Umesema kweli kirakapacha. Makubaliano ya kuyatoa hayo makontena ni lazima yajadiliwe upya na Barrick na Acacia wake wakubali repoti mpya juu ya viwango va madini kwenye hizo makinikia tena kimaandishi.
 
Back
Top Bottom