Ah cocochanel mshepu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Upinzani gani huu.. wakati wewe na wenzako munafaidika na haya.. kwa kweli ile futi sita kamwe hamutoki.. [emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji1437]
2020 kama kawa JPM [emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060]
Usibishane na hawa watoto wa sugu aliozaa na wasanii wa maigizo huwa hawana malezi boraWewe umeandika kivipi!!!!
Hongera kwa kutoka Chadrama.. sasa ukuje [emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169].. [emoji28][emoji28][emoji28] pole bora umejitambua..
Ni raha tupu..
Watupe rekodi pia wamekuwa wakilipa ngapi miaka ya nyuma. Maana hatujaonaga matangazo kama ya siku hizi.Salary Slip Una ushahidi? Kama Siri why tumejuwa wanalipa kiasi Hiko Kwa serikali?
CCM haiuziki tena watanzania tumeichoka mmebaki kulazimisha nyie wachache mnaokula keki ya Taifa.Ya buku 7 tena!!!.. kama unazikula wewe mbona hausemi?..[emoji28][emoji28][emoji28]
Mimi mwananchi.. ukweli tu kwa kwenda mbele.. sipo muongo kama ninyi.. watungaji kila kukicha
N.b. usisahau kuacha uvivu
Mimi nalia na mshepu wako tuRaha sana kusoma habari hizi nzuri za nchini hapa.. yaani raha sana kuwa mwananchi wa nchi hii Tanzania yetu[emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172].. furaha tupu kwa kweli..
JPM 2020[emoji817]
Mkuu,
Kwahyo Noah zetu vp?????
CCM haiuziki tena watanzania tumeichoka mmebaki kulazimisha nyie wachache mnaokula keki ya Taifa.Malipo ya msokoto wa bangi hapo arusha kwa lema yanakutoa akili
Akili zako zipo chooni pesa ilipwe serkali wewe ulete ujingaKaa chini na andika vizuri kama kweli una lengo la kuhabarisha watu humu... Sio unakurupuka tu kishabiki una copy vitu huko unakuja kupest huku! Ballick ndio nini? Hakuna kampuni Tanzania inaitwa Ballick wala Barick...
.....Aliko copy ni wajinga tu na kama umeandika wewe mwenyewe basi sina shaka pia sabu unajulikana ni mamluki wa Lumumba akili zenu zinafanana...
Ya buku 7 tena!!!.. kama unazikula wewe mbona hausemi?..[emoji28][emoji28][emoji28]
Mimi mwananchi.. ukweli tu kwa kwenda mbele.. sipo muongo kama ninyi.. watungaji kila kukicha
N.b. usisahau kuacha uvivu
Tunageuka nini? Dunia nzima inajua CCM inabebwa na tume ya uchaguzi na wasimamizi wa uchaguzi ambao ni makada wa ccm.au hulijui hilo?Mlisema mnashinda saa 12asubuhi leo mnageuka tena
Hapo tunapata Noah ngapi mkuuBarick Gold Mining kumkabidhi rais magufuli tsh100billion kama gawio kwa serkali jumanne 13/10/2020 .mbele ya wanahabari na watanzania
Kama utakumbuka kuna wanasiasa uchwara na wanaharakati uchwara wanaojiona wanajua kila kitu aalipinga hili sasa serkali ya awamu ya tano inakimbiza uchumi kwa speeds kali
Kwa miaka kadhaa pesa hizi zilikuwa zinaliwa na watanzania wezi na kunufaika na familia zao lakini sasa pesa hizi zinakwenda kujenga nchi na kila mwanachadema,mwanacuf,ACT wananufaika kwa kazi nzuri za jpm na ccm yake .
Tunawaomba watanzania sasa akili zirudi tukubaliane kuwa huyu ni nabii
USSR
Hatuwezi kuruhusu madini yetu muweke dhamana,Ujinga mtupu!Mmesaini nao mikataba ya siri kinyume na sheria mliotunga wenyewe, alafu mnatulaghai na hiyo hela mbuzi!