Baridi kama maiti

Baridi kama maiti

Duh hii kubwa kabisa. Niliwahi kumsotea binti mmoja miaka hiyo ya ujana. She was very beautiful (kwa vigezo vyangu). Wengi walikuwa wanasotea lakini wapi. Siku ya kupata ndio nikagundua hilo and she was very frank about it. Lakini ilikuwa ni raha sana ile kumbatana naye tu na alikuwa na tabia nzuri kweli. Ndio maana alikuwa ngumu kutoa. Maskini sijui yuko wapi siku hizi.
 
Duh hii kubwa kabisa. Niliwahi kumsotea binti mmoja miaka hiyo ya ujana. She was very beautiful (kwa vigezo vyangu). Wengi walikuwa wanasotea lakini wapi. Siku ya kupata ndio nikagundua hilo and she was very frank about it. Lakini ilikuwa ni raha sana ile kumbatana naye tu na alikuwa na tabia nzuri kweli. Ndio maana alikuwa ngumu kutoa. Maskini sijui yuko wapi siku hizi.

so sad..! hv hili tatizo halina tiba kabisa?
 
Mkuu hauwazagi vitu vingine wewe ni kugegedana tu !asubuhi mchana na jioni saluti kwako!
 
so sad..! hv hili tatizo halina tiba kabisa?

Inategemea chanzo. Inaweza kuwa la kisaikologia au kimwili. Tiba zipo lakini lazima kujua chanzo kwanza. Uki Google causes of frigidity utaona hayo.
 
Back
Top Bottom