Baridi kama maiti

Baridi kama maiti

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,446
Reaction score
829,814
Joto la mwili ni muhimu mno kwenye kuchochea hisia za mapenzi, mara nyingi utasikia mtu anakuambia, joto lake tu latosha! Unamhug mtu unahisi kabisa jinsi mwili wake ulivyo wa moto unahisi kuhemkwa kabisa!

Lakini je ulishawahi kukutana na mtu ambaye hana joto kabisa mwilini? Unaweza kumkimbia hana ladha wala raha kitandani, unaweza kufikiri umelala na maiti kuna mabinti hata wanaume pia wana hili tatizo lakini hawajijui, ni wazuri wanavutia machoni wana kazi nzuri na pesa pia lakini hawana wapenzi
 
watu wa asia na ulaya asilimia kubwa kabisa wana hili tatizo! Black americans hawamo

labda na nature ya rangi zao ndo mana weng huwa na baridi sana na kutoa water nying wakati wa ku do kwahyo wanakuwa tasteless
 
Ulishawahi kulala na maiti ukajua ni wa baridi au moto, mfano huo si mzuri coz upo kwenye tungo tata kuendana na unachokizungumzia? Kifupi, ukigundua mtu wako ana hili tatizo awe anafanya mazoezi mepesi kabla ya kuingia kitandani!! Au mnapotaka kutumia mambo yetu yale basi yeye muweke kwenye position itayomfanya ajishughulishe zaidi ili kuupasha mwili joto
 
Back
Top Bottom