Aisee wewe ni hovyo sana. Tax unalipa wapi? Returns ya VAT kwa mwezi unalipa wapi? Na kukiwa a kosa la Tax unapelela wapi? Acha kujiona unajua hapo ulipo hauna haya biashara yoyote umekaa kukariri vitabu. Mimi nipo kwenye hii field ya biashara nadhani wewe ulikuwa kwenye zipu ya mzee wako. Unajua kwanini kuna baraza la ushauri wakodi ambalo lipo chini ya TRA. Zama za nyuma kulikuwa na vikao vy urafiki kati ya mtoza kodi TRA/ CG na wafanyabiashara nilishiriki huo mkutano. Hoja kuu wala haujajibu unakimbilia kunyofoa kitu kidogo sana je ni sawa kuja na malipo ya Barcode?
Sent from my SM-J260F using
JamiiForums mobile app