displayname
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,972
- 1,091
Walisha TIM yako kwa mwajiri wako usije kosa kamshahara ka mwezi ujao (januari 2021).Wasomi wao inawezekana wengi wamekaririshwa mavyuoni,hawana ubunifu na ushauri mzuri kwa management yao juu ya ukusanyaji mzuri na rafiki wa kodi kabisa,wakiamka na hili,wanaamua lile,yaani ni wakurupukaji hadi basi
Ulishawahi kuona lini mfanyabiashara kaclaim malipo TRA wakamlipa? Mtafute yule mfanyabiashara wa viatu na sakata lake. Haujui kitu kaa kimya kama umeajiriwa tulia ule vya bure.Lakini mkuu hiyo hela si unaombea return maana inahesabiwa Kama Gharama za ofis.
Licha ya ujinga wa tra Ila nimegundua tanzania wafanyabiashara hawana elimu za Mambo ya kodi. Wengi ni wajinga Sana Tena mno.
Wewe kiberenge tulia nani kasema TRA watakulipa hela yako ? Unaelewa maana ya kudai return zako ?Ulishawahi kuona lini mfanyabiashara kaclaim malipo TRA wakamlipa? Mtafute yule mfanyabiashara wa viatu na sakata lake. Haujui kitu kaa kimya kama umeajiriwa tulia ule vya bure.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Aisee wewe ni hovyo sana. Tax unalipa wapi? Returns ya VAT kwa mwezi unalipa wapi? Na kukiwa a kosa la Tax unapelela wapi? Acha kujiona unajua hapo ulipo hauna haya biashara yoyote umekaa kukariri vitabu. Mimi nipo kwenye hii field ya biashara nadhani wewe ulikuwa kwenye zipu ya mzee wako. Unajua kwanini kuna baraza la ushauri wakodi ambalo lipo chini ya TRA. Zama za nyuma kulikuwa na vikao vy urafiki kati ya mtoza kodi TRA/ CG na wafanyabiashara nilishiriki huo mkutano. Hoja kuu wala haujajibu unakimbilia kunyofoa kitu kidogo sana je ni sawa kuja na malipo ya Barcode?Wewe kiberenge tulia nani kasema TRA watakulipa hela yako ? Unaelewa maana ya kudai return zako ?
Mbona mnajitia ujuaji wakati hamjui ?
Umeongea kwa jazba bila kuelewa ninachomaanisha.Aisee wewe ni hovyo sana. Tax unalipa wapi? Returns ya VAT kwa mwezi unalipa wapi? Na kukiwa a kosa la Tax unapelela wapi? Acha kujiona unajua hapo ulipo hauna haya biashara yoyote umekaa kukariri vitabu. Mimi nipo kwenye hii field ya biashara nadhani wewe ulikuwa kwenye zipu ya mzee wako. Unajua kwanini kuna baraza la ushauri wakodi ambalo lipo chini ya TRA. Zama za nyuma kulikuwa na vikao vy urafiki kati ya mtoza kodi TRA/ CG na wafanyabiashara nilishiriki huo mkutano. Hoja kuu wala haujajibu unakimbilia kunyofoa kitu kidogo sana je ni sawa kuja na malipo ya Barcode?
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Weweeeeeeee,mimi sifanyii kazi taarifa za mitandaoni,kama kuna barua au waraka wa kutekeleza agizo hilo wakileta ofisi kwangu nawapatia,la sivyo watasugua gaga tu kmmmkeWalisha TIM yako kwa mwajiri wako usije kosa kamshahara ka mwezi ujao (januari 2021).
Usije sema sikutaarifu kabla ya deadline (mstari uliokufa) 30 mwezi huu.
Ndio naelewa, sasa jibu swali , maana return ni asilimia fulani tu ambayo ulishalipia kama kodi ndio unapunguziwa (18%) kwenye kodi uliyopaswa kulipa, lakini wewe umeongea as if 100% yote unarudishiwa kama punguzo la kodi, sasa jibu swali πππππΌππΌππΌUnaelewa maana ya return mkuu ? Au unadhani return unarudishiwa hela ?
Hahaha hii nchi Kuna shida mahala
We umeelewa? Sasa kwanini usiseme ulichoelewa badala ya kuanza kuuliza uliza bila mchango wowoteUmeelewa lakini kinacho zungumziwa?
Cha kusikitisha ni kwamba sasa hivi wanapita kwenye biashara za watu na kublock mashine ambazo hazina QRCODE!TRA kama kawaida yao wamekuja na kimbwanga kingine wote ambao wamenunua EFD machine unatakiwa ukawekewe Barcode achana na kuwa hizi machine zina Serial number. Halafu hauwekewe bure unalipa 80,000 yaani ni wizi mpana sana huu. Sijui tunawatendaji wa aina gani?