TRA Tunaomba ufafanuzi juu ya uwekaji wa barcode kwenye EFD Machine au Ni namna mpya ya ukusanyaji wa kodi

wete

Member
Nov 16, 2012
85
60
Habari zenu Wana jukwaa naomba kupata ufafanuzi Kama kuna watu wa Tra humu ndan. Kuna taarifa zinazosambazwa na maafisa wa TRA kuwa inatakiwa kufika kwa watu waliokuuzia mashine ili wakaiprogram mashine ili iwe inatoa risiti iliyo na barcode.
Kwa hyo wamesema tupeleke mashine pamoja na Tsh. 80,000 kwa ajili ya kufanya marekebisho, sasa sijajua Kama ni program mpya wanatuuzia au ni namna mpya ya kutupiga sisi wafanyabiashara wadogo na ishu yenyewe wameileta January kipindi Cha ukata mgumu.
Naomba Kama kuna wajuzi humu watutoe hili tongotongo, Nawasilisha
 
Habari zenu Wana jukwaa naomba kupata ufafanuzi Kama kuna watu wa Tra humu ndan. Kuna taarifa zinazosambazwa na maafisa wa TRA kuwa inatakiwa kufika kwa watu waliokuuzia mashine ili wakaiprogram mashine ili iwe inatoa risiti iliyo na barcode.
Kwa hyo wamesema tupeleke mashine pamoja na Tsh. 80,000 kwa ajili ya kufanya marekebisho, sasa sijajua Kama ni program mpya wanatuuzia au ni namna mpya ya kutupiga sisi wafanyabiashara wadogo na ishu yenyewe wameileta January kipindi Cha ukata mgumu.
Naomba Kama kuna wajuzi humu watutoe hili tongotongo, Nawasilisha
haya mambo acha tu.
 
Ni QR code nilikosea, sema nilitaka kupata uelewa wa hiyo elfu 80 kwa anaefaham sbb wanapiga mkwara kua ukichelewa kupeleka mashine fain ni milion 3
Hili zoezi lilipaswa kufanyika bure basi tu kila kitu ni fursa.
 
Habari zenu Wana jukwaa naomba kupata ufafanuzi Kama kuna watu wa Tra humu ndan. Kuna taarifa zinazosambazwa na maafisa wa TRA kuwa inatakiwa kufika kwa watu waliokuuzia mashine ili wakaiprogram mashine ili iwe inatoa risiti iliyo na barcode.
Kwa hyo wamesema tupeleke mashine pamoja na Tsh. 80,000 kwa ajili ya kufanya marekebisho, sasa sijajua Kama ni program mpya wanatuuzia au ni namna mpya ya kutupiga sisi wafanyabiashara wadogo na ishu yenyewe wameileta January kipindi Cha ukata mgumu.
Naomba Kama kuna wajuzi humu watutoe hili tongotongo, Nawasilisha
Kupitia ile barcode una uwezo wa kufanya verification kama hiyo risiti ni genuine au ni feki. Kifupi wameweka hiyo kama njia ya kupunguza utoaji wa risiri feki.
 
Kupitia ile barcode una uwezo wa kufanya verification kama hiyo risiti ni genuine au ni feki. Kifupi wameweka hiyo kama njia ya kupunguza utoaji wa risiri feki.
Ni nani ana verify hiyo risiti? QR code inakusaidiajeku verify?

Mimi nadhani labda program mpya imekuwa improved katika mambo mbalimbali ikiwemo kuongezewa QR code.

Sasa hayo mambo ndo wadau wangependa kuyajua.
 
Back
Top Bottom