Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,825
- 113,411
Leo nna maumivu ya arsenal na huku
Brentford ni wagumu hasa wakia kwao.Na huyu nae
Mkuu wewe ni shabiki wa Arsenal na Barca?Leo nna maumivu ya arsenal na huku
Kuna jamaa aliandika muogopen sana brentf akiwa k wa akee mmh tumekoma sio tu kuogopaaBrentford ni wagumu hasa wakia kwao.
Na hapo wameuza wachezaji wengi muhimu hadi kocha lakini bado wanaleta ubishi.
Gape saizi ni point 4
Mimi niliwaambia watu mtaani, Arsenal hana mikono ya kubebea kombe wakabisha.
Naona sasa watakuwa wanaanza kunielewa.
ndio mkuu hapa nimetoka kuchek gemu ya arsenal nimevalia lijezi langu la barcelona.Mkuu wewe ni shabiki wa Arsenal na Barca?
Brentford ni mechi chache sana ambazo amecheza bila kupata goli.Kuna jamaa aliandika muogopen sana brentf akiwa k wa akee mmh tumekoma sio tu kuogopaa
Barcelona ikimkosaga Raphina huwa ina struggle sana.ndio mkuu hapa nimetoka kuchek gemu ya arsenal nimevalia lijezi langu la barcelona.
Siioni barcelona ya kushinda goli 5 bora hata wangepata goli 2 kidogo matumaini yangekuwepo.Barcelona ikimkosaga Raphina huwa ina struggle sana.
Mi ndio maana sometimes huwa nasemaga mpaka sasa sijaona timu yenye kikosi kipana.
Wakikosekana wachezaji wawili tu, flow nzima ya timu inavurugika.
Poleni bana ila mimi kwangu ni furaha sana maana mngechukua na hili tusingelala.
Hiyo second leg labda yatokee tu maajabu na maajabu yalikuwa ni yale ya kipa wa Benfica kumfunga Madrid.
Maajabu hayatokeagi mara mbili ndani ya mwaka mmoja. Kwa hiyo sidhani kama kutakuwa na maajabu mengine kwenye mechi yenu ya marudiano.
Kama matokeo ya Arsenal yamekuuma sana basi nakuhakikishia kilio chako kitakuwa ni endelevu.Siioni barcelona ya kushinda goli 5 bora hata wangepata goli 2 kidogo matumaini yangekuwepo.
Nalia na arsenal ndio inaninyima raha hii timu.
Inaniuma sana hata nguvu ya kubishana sinaKama matokeo ya Arsenal yamekuuma sana basi nakuhakikishia kilio chako kitakuwa ni endelevu.
Hii ndio EPL na sidhani kama kuna zali lingine litakuja kuwaangukia kama msimu huu.
Misimu yote huwa ikifika Christmas tu mnakuwa mmeachia bomba kweye nafasi ya kwanza.
Hii chansi mliyopata huu msimu siione ikijitokeza kwenye misimu ya mbele.
Huu ulikuwa ni mwaka wenu ila mtajilaumu kwa uzembe wenu wenyewe.