comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,226
- 5,949
- Thread starter
- #21
Anayelalamika ni kweli hajui chochote na kwa bahati mbaya anapata majibu ya hovyo kutoka kwa wanadhani wanajua kumbe hawataki kusumbua akili zao na kuhoji. Kwa ujumla mimi silalamiki nina hoji.Nimekushauri kutembelea NECTa ili ukaelimishwe namna huo udanganyifu unavyofanyika, hutaki! Badala yake umechagua njia ya kulalamika! Huku ukiwa hujui chochote.
Kwa bahati mbaya sina shule binafsi lakini ningekuwa na shule binafsi halafu nifanyiwe ujinga kama huu - hayo maelezo baraza la mitihani wangeyaleta mahakamni