Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Majina yote hayo yametuchosha masikioni mwetu. Nahisi hata kichefuchefu kuona majina kama ya akina nchimbi, membe, ngereja, n.k. Hivi nchi hii imefika mahali hata watu kama akina masele wa shy kufikiriwa kuwa waziri? Ama kweli tumefikia mahali pabaya.