technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Naomba mheshimu Rais wa nchi. Tumia vema uhuru wako wa maoni ndugu# Uhuru wa maoni isiwe jinai.πππTangu lini Samia akawa serious?
Sio kuvunjwa, labda kufanyiwa manadiliko, kuvunjwa ni endapo wazlri mkuu atapumzishwa!.Inaelekea serikali ya rais Samia itavunja na kupangua Baraza la mawaziri
Kwa mjibu wa Samia Kuna watendaji ni wabovu ndani ya serikali yake.
NB: Watu wataanza kwenda kwa sangoma πππ!
Mbuzi weupe wataanza kupanda bei ghaflaInaelekea serikali ya rais Samia itavunja na kupangua Baraza la mawaziri
Kwa mjibu wa Samia Kuna watendaji ni wabovu ndani ya serikali yake.
NB: Watu wataanza kwenda kwa sangoma!
Kwani watoto pendwa nao wataenda kwa sangoma?Inaelekea serikali ya rais Samia itavunja na kupangua Baraza la mawaziri
Kwa mjibu wa Samia Kuna watendaji ni wabovu ndani ya serikali yake.
NB: Watu wataanza kwenda kwa sangoma πππ!
Mmezoea kurogana huko ufipa basi unajua kila sehemu ni hivyo.Mbuzi weupe wataanza kupanda bei ghafla
Bora umempa Elimu na sijuwi Kama ataelewa kwa uharaka,Ngoja nimsubiri maana badala ya kukubali anaweza kuja kuporomosha matusiSio kuvunjwa, labda kufanyiwa manadiliko, kuvunjwa ni endapo wazlri mkuu atapumzishwa!.
P
True haijawahi kuwa serous hata kidogoTangu lini Samia akawa serious?
Hana ubavu wa kuvunja baraza, she is too weak to do that! Mwanamke ni mwanamke...Anatishia nyau tu huyo.