Justine_Dannie
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,963
- 1,616
Thibitisha madai yako tafadhari.Hakuna msanii ambaye hapiti humu..na wote wana ID
Sent using Jamii Forums mobile app
Thibitisha madai yako tafadhari.Hakuna msanii ambaye hapiti humu..na wote wana ID
In short da prince mziki kaweka pembeni kwa sasa yupo busy na naj..so sadWasukuma kwa wanawake weupe mpaka akili zinahama. Siku akiachwa atakufa kabisa tumzike.
Sent using Jamii Forums mobile app
msukuma mbele ya mwanamke mweupe ni kama nguruwe kwenye muwa au ngedele kwenye ndizi au Madimba jr na celeb forumSimuelewi huyu kijana siku hizi, huko instagrama picha zote yupo na Najma, mara anamla denda, mara kamshika makalio, hata mziki sasa hivi sijui kama anaimba tena. Inabidi arekebike
😁😁😁😁😁 Mapaja ya Najmsukuma mbele ya mwanamke mweupe ni kama nguruwe kwenye muwa au ngedele kwenye ndizi au Madimba jr na celeb forum
Simuelewi huyu kijana siku hizi, huko instagrama picha zote yupo na Najma, mara anamla denda, mara kamshika makalio, hata mziki sasa hivi sijui kama anaimba tena. Inabidi arekebike
Bibi si huyo Najma👈🤣🤣🤣Bibi yake alikuwa anamwimbia nyimbo za dini sa hv anaimba bongo fleva sidhan ama ataweza mwimbia tena...
Hahahaaaa Ndio maana nimeuliza maana alivyojishebendua kwenye ile show ya Ujenzi akionyesha Nyumba Yake "FEKI" hajarudi tena kuonyesha mjengo ulivyokamilika.Si naskia ni ya mama yake naj
Hacha ukuda basis mkuu.. .Da prince tunamlekebisha arudie mziki ww unauliza maswali ya wapi ww?hivi nae ni msanii mimi namuonaga kama under ground