Barabara ya New Bagamoyo

pembe

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
2,128
701
Wahandisi wa barabara mpo? Mbona hii barabara mpya inatumaliza sisi wananchi na nyie mnaangalia? Upembuzi yakinifu ni mbaya kabisa kwani kwenye makutano ni ajali kila siku kuanzia Lugalo hadi Mbuyuni.

Hatua stahiki zichukuliwe kurekebisha hizi kasoro.

Madereva nao wazingatie kiwango cha mwendo uliowekwa kwenye mabango!
 
Wahandisi wa barabara mpo? Mbona hii barabara mpya inatumaliza sisi wananchi na nyie mnaangalia? Upembuzi yakinifu ni mbaya kabisa kwani kwenye makutano ni ajali kila siku kuanzia Lugalo hadi Mbuyuni.

Hatua stahiki zichukuliwe kurekebisha hizi kasoro.

Madereva nao wazingatie kiwango cha mwendo uliowekwa kwenye mabango!

Hebu fafanua vizuri, barabara zinasababisha vipi hizo ajali kunako makutano?
 
sioni tatizo katiaka barabara hiyo ingawa pale mbuyuni maroli ya michanga huwa yanatoka nduki sana... so kuna risk flani ya kutokea kwa ajali!
 
Hapa wakunyooshewa vidole ni madereva sio wajenz, barabara mbona iko poa tu, na wapita kwa miguu wametengenezewa vzur tu sehemu za kupita
 
barabara ipo fresh kabisa sema ni kuwa makini kwenye baadhi ya maeneo
 
Nadhani mtoa mada alitaka kueleza mapungufu ktk makutani ya barabara. Hawakuwa wabaweka nafasi ya kutosha kumwezesha dereva kukata kona. Hii inafanya aidha magari kugongana au kupinduka wanapojaribu kukwepana.Mf mbuyuni makutano na barabara iendayo salasala. Etc
 
Back
Top Bottom