Barabara ya lami hadi Uru Kishumundu

Barabara ya lami hadi Uru Kishumundu

Kithuku

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2006
Posts
1,395
Reaction score
227
Ni ahadi ya Kikwete! Ahadi nyingine inabidi watu watumie akili zao pia kabla hawajaziamini. Au JK kaona hao jamaa ndio rahisi kuwadanganya. Wachaga wenyewe wanabeza huko Kishumundu, JK anasema atapeleka barabara ya lami!
 
Ni ahadi ya Kikwete! Ahadi nyingine inabidi watu watumie akili zao pia kabla hawajaziamini. Au JK kaona hao jamaa ndio rahisi kuwadanganya. Wachaga wenyewe wanabeza huko Kishumundu, JK anasema atapeleka barabara ya lami!
Na bandari atawajengea kama kawaida. kama hakuna bahari, atawaletea bahari then atajenga bandari. Kwa CCM hakuna kinachoshindikana.
 
Na bandari atawajengea kama kawaida. kama hakuna bahari, atawaletea bahari then atajenga bandari. Kwa CCM hakuna kinachoshindikana.

Yaani mkuu wangu huu ni udanganyifu wa waziwazi, au ni kutaka kuzidi kuwabeza watu wa huko Kishumundu. Imagine miaka 5 itakapoisha wawe bado hawana barabara ya lami waliyoahidiwa huku wameshampa kura lukuki JK, unadhani wachaga wenzao (ambao tayari wanawabeza kama 'clowns') watawafanyaje kama si dharau zaidi? Yaani watakuwa ndiyo wa kutolewa mfano wa wadanganyika!
 

Barabara zote vijijini mkoani Kilimanjaro kujengwa kwa kiwango cha lami - JK

Huu ni moja ya mikoa migumu kwa ccm. Wananchi wanataka kazi ya ujenzi ianze kabla ya 31/10/2010.

Vioja vingine tutavisikia akiwa mkoani Iringa juma lijalo.
 

Barabara zote vijijini mkoani Kilimanjaro kujengwa kwa kiwango cha lami - JK

Huu ni moja ya mikoa migumu kwa ccm. Wananchi wanataka kazi ya ujenzi ianze kabla ya 31/10/2010.

Vioja vingine tutavisikia akiwa mkoani Iringa juma lijalo.

Akiwa ni Moshi aliwaambia Mbeya na Muhimbili zitakuwa na 'Super Special Hospitals' na Mawenzi itakuwa Referral Hospital. Hiyo Super Special Hospital inatoa matibabu ya aina gani? na madaktari wake watasomea wapi? Au ndio kina Sheikh Yahya Hussein?
 
jk muongo. Hawezi kumaliza barabara zote za kilimankarro. Au amesahau kilimanjaro unajumlisha na jimbo la anne kilango amablo ndio maskini kuliko yotea kilimanjaro
 
Hadi sasa kuna mkandarasi anaanza ujenzi wa Rau hadi Uru Mawela....kilomita 10!
 
Jana ameahidi atalipa ng'ombe wa wamasai waliopotea!
 
Ahadu za sisi m huwa hazikumbukwi baada ya miaka 5.
Jana nilisikia yule mwandishi wa the guardian akikumbusha kuwa 2005 Kikwete aliwaahidi watu wa Mwanza kuwa katika miaka 5 mji wa Mwanza utakuwa umejengwa na kuwa kama mji wa ulaya lakini hakuna kilichofanyika na leo anatoa ahadi Kigoma kuwa Dubai ndogo hahahahahahahahaha hivi na wachaga pamoja na kisomo chao chote wanadanganywa kirahisi na matapeli hawa? hahahahahahahahha
 

Barabara zote vijijini mkoani Kilimanjaro kujengwa kwa kiwango cha lami - JK

Huu ni moja ya mikoa migumu kwa ccm. Wananchi wanataka kazi ya ujenzi ianze kabla ya 31/10/2010.

Vioja vingine tutavisikia akiwa mkoani Iringa juma lijalo.

Nani asiyejua sera zenu za majimbo?
 
Hadi sasa kuna mkandarasi anaanza ujenzi wa Rau hadi Uru Mawela....kilomita 10!

It is sad my friend. He promised to have that road tarmac in 2005. As 2010 approached, there was nothing like survey, clearing of third party interests abutting the road, and the CCM MP of the area Dr Chami started making noise meeting his members of constituency explaining that what was promised was murram all weather road, but he was shut down! Next that we heard was a Contractor had been assigned to the road and set up a camp site. Ni usanii.

There are a number of issues here, how was the contractor picked, it seems like he was handpicked, two there are a number of structures tht will have to be removed to allow a free corridor for the road equipment, this takes time as the owners need to be treated fairly, given time to remove their houses and be compensated. Nothing like that! What CCM is going to do is going to push through and mistreated asset owners on either side of the road, and if they raise argument, they going to be branded traitors of a good cause, as usual they will cow down and life continous, Kikwete gets the vote!

I wonder what the Chadema contestant in the area has to say on this!
 
i do believe on mr komu mb chadma na kunakoahidiwa barabara mawella ni jirani na kwao atawaambia mlalembeke nyira! wakipata kura hamtawaona kama ilivyokuwa 2005 dr chami aliahidi mengi lakini wapi? mashamba ya umma yamebinafsishwa(chibo,machare,uru estate)walichokiambulia wananchi ni cheap labour kwenye mashamba ya kahawa ambapo watu wanafanya kazi vile bila kuwa na vifaa vya kujikinga na madawa then magonjwa hela ya kujitibu hakuna umaskini tu!
 
Jana ameahidi atalipa ng'ombe wa wamasai waliopotea!


ha! ha! ha!

Kwa mujibu wa Wachaga, ukiitwa "Wakishumundu" basi ujue wewe ni waluwalu wa kutupwa.

Si ajabu hawajui hata lami ni kitu gani. Na JK anawamaliza hapo hapo kwenye Ukishumundu wao
 
Ni ahadi ya Kikwete! Ahadi nyingine inabidi watu watumie akili zao pia kabla hawajaziamini. Au JK kaona hao jamaa ndio rahisi kuwadanganya. Wachaga wenyewe wanabeza huko Kishumundu, JK anasema atapeleka barabara ya lami!

Na wewe pia uache dharau zako. Una maanisha watu wa huko Kishumundu hawastahili barabara ya lami?
 
i have beeen in that area like 25 years ago..and still have friends coming from that area....lami ya uru kishumundi ilijengwa na mwalimu nyerere...miaka ya nyuma......ikaishia kilometa moja hivi kutoka hilo eneo...ambapo kuna kanisa...na ofisi za kata...so kwa kifupi kikwete hakutakiwa kusema anajenga barabara...bali labda kuikarabati....ile aliyojenga mwalimu zamani.........kama anavyokarabati barabara ya mandela ...badala ya kuachana na plan ya awali ya kuibomoa yote na kujenga mpya ya six lane .....kama plan ya awali ilivyokuwa!!!
 
Ni ahadi ya Kikwete! Ahadi nyingine inabidi watu watumie akili zao pia kabla hawajaziamini. Au JK kaona hao jamaa ndio rahisi kuwadanganya. Wachaga wenyewe wanabeza huko Kishumundu, JK anasema atapeleka barabara ya lami!


ili kuvutia kura za wanafunzi ambao anajuwa ni wengi kutokana na idadi kubwa ya shule...JK amenikuna na ahadi yake ya kuunganisha shule nchini zote na in particular kilimanjaro na mtandao wa internet ndani ta miaka mitano iliyobaki...i cant wait to see that done ....wanafunzi na walimu wa msingi/sekondari kule kilimanjaro wataweza kuwasiliana na wenzao wa kigoma au mtwara........hayo yatakuwa mapinduzi ya ajabu...........
naamini tayari shule zote nchini zina umeme angalau wa solar ...na infact walimu wote wa shule tayari wameshafundishwa kutumia hizo computer kabla ya wanafunzi......mpango kabambe huuu!!
 
It is sad my friend. He promised to have that road tarmac in 2005. As 2010 approached, there was nothing like survey, clearing of third party interests abutting the road, and the CCM MP of the area Dr Chami started making noise meeting his members of constituency explaining that what was promised was murram all weather road, but he was shut down! Next that we heard was a Contractor had been assigned to the road and set up a camp site. Ni usanii.

There are a number of issues here, how was the contractor picked, it seems like he was handpicked, two there are a number of structures tht will have to be removed to allow a free corridor for the road equipment, this takes time as the owners need to be treated fairly, given time to remove their houses and be compensated. Nothing like that! What CCM is going to do is going to push through and mistreated asset owners on either side of the road, and if they raise argument, they going to be branded traitors of a good cause, as usual they will cow down and life continous, Kikwete gets the vote!

I wonder what the Chadema contestant in the area has to say on this!

Kumbe ni kweli wakishumundu wanapenda sana kiingereza. Usishangae kusikia huyu ni shoe-shiner pale Samora avenue!
 
Na wewe pia uache dharau zako. Una maanisha watu wa huko Kishumundu hawastahili barabara ya lami?

Mwenzio mmoja humu ndani kasema kumbe Kishumundu kuna barabara ya lami tangu enzi za Mwalimu Nyerere. Pengine basi JK alipaswa kuwaahidi jambo tofauti wakati huu, lakini nashangaa ahadi ndiyo hiyo na wameshangilia sana, na kura watampa. Anthony Komu aligombea ubunge huko Moshi uchaguzi uliopita, namfahamu tulikuwa naye Mlimani late 1980's, yeye alikuwa akituambia ni mtu wa Uru lakini siku zote alisisitiza kuwa si mkishumundu, sijui kuna shida gani huko? Labda nikuulize ndugu Mtu B, unaziamini ahadi za JK kuwa ataunganisha shule zote na internet? Shule hazina umeme wala computer, hiyo internet itafungwa wapi? Na ni kwa gharama za nani, maana hata hizi shule za kata tunazoambiwa ada ni sh 20,000 kwa mwaka kuna michango lukuki hadi ya kumlipa mgambo anayelinda kifusi cha kokoto kilichomwagwa uwanja wa shule!
 
Back
Top Bottom