Barabara ya Juu (Flyover) Ubungo yaanza kutumika

Barabara ya Juu (Flyover) Ubungo yaanza kutumika

Tatizo letu ni fikra. Nimewahi kujenga nyumba ya 50m mkoa flani kwa kutumia mafundi wazalendo ile nyumba natamani kuibomoa. Lakini nilipochukua mafundi kutoka nje nilijenga nyumba nzuri sana kwa ile ile 50m. Fedha zilizotumika kujenga kadaraja ka Ubungo hizo hizo zingeweza kujenga fyover nzuri zaidi.

Angalia wenzetu Namibia ka-nchi kadogo kabisa kenye watu wasiozidi 2.5 milioni na kenye ukame mkubwa na umaskini lakini angalia mipango yao ya barabara hapa;
View attachment 1464548
View attachment 1464542
View attachment 1464544View attachment 1464545View attachment 1464546
Wivu huo[emoji42][emoji42]
 
Kama tu hiyo interchange ya ubungo mpaka tukope world bank unadhani hivyo unavyotamani utaviweza wewe?

WAMEKOPA kwa sababu wameamua kukopa.

Wanapoenda kununua V8 ya 400milion kila moja, wanakopa ?????

Na kila mwaka wananunua hayo ma luxury grade, high-maintanance, gas guzzling, self-serving equipment mangapi na lile daraja limetumia shilingi ngapi na wamejenga mangapi ndani ya miaka mingapi toka uhuru ????????

Give me a break.

Hutakiwi kusimama kwenye mataa wala kukutana na askari kwenye flyover!

Wametujengea kitu kibovu cha kinyonge, tuendelee kuwa wanyonge, waendelea kutuita wanyonge.
 
WAMEKOPA kwa sababu wameamua kukopa.

Wanapoenda kununua V8 ya 400milion kila moja, wanakopa ?????

Na kila mwaka wananunua hayo ma luxury grade, high-maintanance, gas guzzling, self-serving equipment mangapi na lile daraja limetumia shilingi ngapi na wamejenga mangapi ndani ya miaka mingapi toka uhuru ????????

Give me a break.

Hutakiwi kusimama kwenye mataa wala kukutana na askari kwenye flyover!

Wametujengea kitu kibovu cha kinyonge, tuendelee kuwa wanyonge, waendelea kutuita wanyonge.
Kama imekuudhi kaibomoe au hama nchi nenda huko kulioendelea! Sina muda na walalamikaji. Period!
 
1590929998169.png


1590930088316.png


1590930132714.png


Wenye wivu wajinyonge.
 
Tatizo letu ni fikra. Nimewahi kujenga nyumba ya 50m mkoa flani kwa kutumia mafundi wazalendo ile nyumba natamani kuibomoa. Lakini nilipochukua mafundi kutoka nje nilijenga nyumba nzuri sana kwa ile ile 50m. Fedha zilizotumika kujenga kadaraja ka Ubungo hizo hizo zingeweza kujenga fyover nzuri zaidi.

Angalia wenzetu Namibia ka-nchi kadogo kabisa kenye watu wasiozidi 2.5 milioni na kenye ukame mkubwa na umaskini lakini angalia mipango yao ya barabara hapa;
View attachment 1464548
View attachment 1464542
View attachment 1464544View attachment 1464545View attachment 1464546
Mkuu huu utopolo uliouweka hapa woote unapatikana pale mbezi pakikamilika na nyongeza juu
 
Huyu baba
Huyu baba namkubali, Mungu akulinde
Nani humkubali mkuu?
Lami zilitandikwa ndio maana madaraja yanajengwa. Na hiyo ni miradi ambayo ilikua tayari imeshachukuliwa mikopo kabla hajaingia. Issue ni kwamba imejengwa wakati yeye yupo madarakani.

Wakushukuliwa ni wale waliotoka nje wakaona wenzao wanafanyaje sehemu zenye makutano.

Kwa upande wangu nawapongeza watanzania waaminifu kwenye kulipa kodi maana ndio wawezeshaji.

Hayo mengine ni siasa tunawaachia nyie
 
Mungu mbariki Rais wetu Dkt John Magufuli, Kiongozi mwenye maono ya mbali ya namna ya kutukwamua wanyonge wa Taifa Tanzania. Hakika huyu atatuvusha.
 
Nani humkubali mkuu?
Lami zilitandikwa ndio maana madaraja yanajengwa. Na hiyo ni miradi ambayo ilikua tayari imeshachukuliwa mikopo kabla hajaingia. Issue ni kwamba imejengwa wakati yeye yupo madarakani.

Wakushukuliwa ni wale waliotoka nje wakaona wenzao wanafanyaje sehemu zenye makutano.

Kwa upande wangu nawapongeza watanzania waaminifu kwenye kulipa kodi maana ndio wawezeshaji.

Hayo mengine ni siasa tunawaachia nyie
Wivu tu...
 
Back
Top Bottom