Barabara ya Juu (Flyover) Ubungo yaanza kutumika

Barabara ya Juu (Flyover) Ubungo yaanza kutumika

MFUGALE FLY OVER -TAZARA

Mfugale Fly-over.jpg
 

Attachments

  • Mfugale Fly-over.jpg
    Mfugale Fly-over.jpg
    9.9 KB · Views: 6
Miradi mingi ya ujenzi tunayofanya ni simplistic mno. Hata ile flyover ya Tazara haina tofauti na kadaraja ka mto. Inashangaza makutano makubwa nchi kama ya Ubungo kuwa na ka-simplistic interchanger kama hako!

Inashangaza jiji kubwa la Dar es Salaam lenye watu zaidi ya 6m na projection ya kuwa moja kati ya majiji makubwa zaidi (mega cities) by 2050 leo hii tunajenga vibarabara vya hovyo na viwanjwa vya ndege vidogo vilivyopaswa kujengwa Kigoma, Mbeya, Bukoba, etc.

Inashangaza mradi wa matrillioni kama wa SGR kuwa wa reli ya njia moja (single track railway)! Treni inayotoka Dar kwenda Moro inabidi isimame katika kila kituo kwa muda hata dakika 20 kusubiri treni inayotoka upande mwingine. Treni za single track zilijengwa na wajerumani mwaka 1905 wakati population ya watu Tanganyika ikiwa chini ya 2million na inshangaza tunajenga vitu kama hivyo miaka zaidi ya 120 baadaye wakati tukijitawala na idadi ya Watanzania ikiwa takribani 60 million!

Naweza kuendelea kutaja miradi mingi tu jinsi tunavyojenga kama vile tunajenga nyumba za makuti kwa ajili ya muda mfupi tu. Tunapoteza matrilioni yetu ya kukopa kwa kutokuwa na maono. Nasema hatuna maono! Hatujaweza kupangilia miji yetu yote tangu aondoke mkoloni. Huwezi amnini mipango miji iliyopo ni ile waliyofanya wajerumani miaka 1890 na waingereza 1930! Manzese, Changanyikeni, Buguruni, Kwa Morombo, Nyegezi, Mabogini, nk ndipo "tulipopanga" tangu uhuru!
Mkuu, interchange ya ubungo imekukosea nini? Simple but it serves 90% of the one you dream of...
 
Hivi ulishawahi kuona hako ka daraja ka nairobi, wala siyo ya duara ni robo duara. Angalia hapo down
View attachment 1464528I😃😃😃😃

View attachment 1464529

Hivi kweli mtu unakuja na upupu wako kwamba ubungo interchange imekosewa kwa kulinganisha na hivi vidaraja kweli. Hvi vidaraja vya nairobi si leval yake ni Mfugale flyover.
Watu Ni wajinga sana...hicho kidaraja kimejengwa na tofali njia mbili..wakati ubungo ni njia sita...huku na huko...alaf wanaleta upupu hapa
 
Unajikuna mkono unapofikia mzee baba..Kama uwezo wako Ni wa vits utaacha kununua Lisa Kuna V8. Tuache maisha ya kubeza beza...
Tatizo letu ni fikra. Nimewahi kujenga nyumba ya 50m mkoa flani kwa kutumia mafundi wazalendo ile nyumba natamani kuibomoa. Lakini nilipochukua mafundi kutoka nje nilijenga nyumba nzuri sana kwa ile ile 50m. Fedha zilizotumika kujenga kadaraja ka Ubungo hizo hizo zingeweza kujenga fyover nzuri zaidi.

Angalia wenzetu Namibia ka-nchi kadogo kabisa kenye watu wasiozidi 2.5 milioni na kenye ukame mkubwa na umaskini lakini angalia mipango yao ya barabara hapa;
1590924689932.png

1590924501413.png

1590924537843.png
1590924593901.png
1590924631139.png
 
Tatizo letu ni fikra. Nimewahi kujenga nyumba ya 50m mkoa flani kwa kutumia mafundi wazalendo ile nyumba natamani kuibomoa. Lakini nilipochukua mafundi kutoka nje nilijenga nyumba nzuri sana kwa ile ile 50m. Fedha zilizotumika kujenga kadaraja ka Ubungo hizo hizo zingeweza kujenga fyover nzuri zaidi.

Angalia wenzetu Namibia ka-nchi kadogo kabisa kenye watu wasiozidi 2.5 milioni na kenye ukame mkubwa na umaskini lakini angalia mipango yao ya barabara hapa;
View attachment 1464548
View attachment 1464542
View attachment 1464544View attachment 1464545View attachment 1464546
Yah..hapa kipindi kile Magu anasema barabara ya Kimara inahitaji mita 100, watu walipinga mitandaoni kwamba Ni Pana sana..wakati wenzetu wanaacha maeneo ya kutosha as road reserve
 
Ni mfumo wa makutano duni kuliko yote duniani.

Kutakuwa na mataa na kutakuwa na askari.

Ukienda moja kwa moja unapita juu kwa juu, husimami, kwa sababu juu hakuna makutano.

Ukikunja kona lazima upite chini, na lazima usimame, kwa sababu unakutana na wenzako wanaopita chini. Chini kutakuwa na mataa, na kuna askari.

Ki flyover design cha kinyonge sana.
 
Miradi mingi ya ujenzi tunayofanya ni simplistic mno. Hata ile flyover ya Tazara haina tofauti na kadaraja ka mto. Inashangaza makutano makubwa nchi kama ya Ubungo kuwa na ka-simplistic interchanger kama hako!

Inashangaza jiji kubwa la Dar es Salaam lenye watu zaidi ya 6m na projection ya kuwa moja kati ya majiji makubwa zaidi (mega cities) by 2050 leo hii tunajenga vibarabara vya hovyo na viwanjwa vya ndege vidogo vilivyopaswa kujengwa Kigoma, Mbeya, Bukoba, etc.

Inashangaza mradi wa matrillioni kama wa SGR kuwa wa reli ya njia moja (single track railway)! Treni inayotoka Dar kwenda Moro inabidi isimame katika kila kituo kwa muda hata dakika 20 kusubiri treni inayotoka upande mwingine. Treni za single track zilijengwa na wajerumani mwaka 1905 wakati population ya watu Tanganyika ikiwa chini ya 2million na inshangaza tunajenga vitu kama hivyo miaka zaidi ya 120 baadaye wakati tukijitawala na idadi ya Watanzania ikiwa takribani 60 million!

Naweza kuendelea kutaja miradi mingi tu jinsi tunavyojenga kama vile tunajenga nyumba za makuti kwa ajili ya muda mfupi tu. Tunapoteza matrilioni yetu ya kukopa kwa kutokuwa na maono. Nasema hatuna maono! Hatujaweza kupangilia miji yetu yote tangu aondoke mkoloni. Huwezi amnini mipango miji iliyopo ni ile waliyofanya wajerumani miaka 1890 na waingereza 1930! Manzese, Changanyikeni, Buguruni, Kwa Morombo, Nyegezi, Mabogini, nk ndipo "tulipopanga" tangu uhuru!
Mkuu we endelea kuota na kulalamika sisi tunasonga mbele. Maendeleo ni hatua kna hatua moja uanzisha nyingine.
 
Cha ajabu nn hapo mkuu....Yani kwakuwa imekua ya duara ndo imekuchanganya ama? Ya kwetu is the best ukilinganisha na hup ujinga ulinionyesha hapo if umewahi fika I'll eneo lakn
Umeona like yangu huko?
 
Hivi ulishawahi kuona hako ka daraja ka nairobi, wala siyo ya duara ni robo duara. Angalia hapo down
View attachment 1464528I[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

View attachment 1464529

Hivi kweli mtu unakuja na upupu wako kwamba ubungo interchange imekosewa kwa kulinganisha na hivi vidaraja kweli. Hvi vidaraja vya nairobi si leval yake ni Mfugale flyover.
Sidhani kama atakujibu
 
Back
Top Bottom