Kweli kabisa maendeleo hayana vyama. Tanzania kwanza vyama baadae.Hiki ni kishindo cha awamu ya 5 chini ya Rais mpendwa magufuli.
Maendeleo hayana chama.
View attachment 1463551
Idiot. Period.Tatizo lenu kubwa ni kuzaliwa, kukulia na kufia Mburahati ndio maana mnaona mambo ya hovyo kuwa mazuri na makubwa.
Lete nchi yoyote ya africa ambayo ina flyover ya namna hiyo kunguni wewe. Usitake matamanio yako yasiyoendana na uchumi wako . Kama shoga vile!Ahaahaa mmefanikiwa kujenga flyover yenye choo! Kesho nitawatambia wazungu hapa NewYork.
View attachment 1464966
Haijalishi mkuu. Jambo la msingi ni kuondoa foleni ili watu wawahi makazini. Usiwe kama wanaChadema.So what?🤔 Mtaiita Magufuli flyovers, Majaliwa flyovers au Makonda flyovers?
Kwani lazima usikilize hizo pongezi, kama hutaki kuzisikia si unauchuna tu. Wakati wa JK tulikuwa tunasifia sana kinyumenyume sema wewe ulikuwa husikii tu rushwa, meno ya tembo, madawa ya kulevya, watumishi hewa, mikataba mibovu kama bandari ya bagamoyo, ubadhirifu wa mali za umma, huduma mbovu kwenye taasisi za serikali na madudu mengine mengi. Kwa mtindo wako huo mpaka miaka mingine mitano ya JPM ije iishe nina wasiwasi utakuwa na shinikizo la damu (BP). Pole baba tuvumiliane tu kwa kipindi hiki.Haya mawazo yako yanafanana kabisa na ya kwangu! Awamu hii kuna baadhi ya mambo yanakera sana. Yaani hiyo flyover imejengwa kwa kodi zetu, lakini pongezi anapewa mtu mmoja tu ambaye tuliambiwa hata mshahara wake tu wa mwezi haukatwi kodi!
By the way, nini uwepo wa Serikali! Kujisifia na kusubiri pongezi au ni kuwaletea wananchi maendeleo? Awamu iliyopita haya mambo hayakuwepo kivile! Sijajua ni kwa nini awamu hii unafiki unawatafuna sana Watanzania. Kila kitu, pongezi kwa Jpm!! Mpaka inachosha.
Jina si ishu, aliahidi na ametekelezaSo what?🤔 Mtaiita Magufuli flyovers, Majaliwa flyovers au Makonda flyovers?
Kwani kumaintain design ya jengo Kuna kosa? Kwani unafikiri wamarekani wanashinda kujenga ikulu mpya?why Whitehouse ipo vile vile haibadilishwi?Natia changamoto na kuwafungua watz akili kwa kweli tupo maporini sana. Unaona ikulu mpya jiwe amecopy na kupest ile iliyojengwa na wakoloni mwaka 1890! Copy and paste! Kwenye hotuba yake Dom hana cha pekee zaidi ya kusema eneo la ikulu litakuwa acre 8,000 na ni kubwa kuliko yote Africa, hicho sio cha kujivunia, cha kujivunia ni architecture sio ukubwa wa pori linalozunguka ikulu.
Habari njema hiiMkandarasi yupo site.
Ulete mrejeshoHaters tutaisoma number mbona? Kesho naenda kuishangaa wallah maana bado siamini.. Inaweza kuwa Photoshop hii
Jr[emoji769]
"Appreciation is a wonderful thing, it makes what is excellent to others belong to us all."
[emoji1666][emoji1666][emoji120]What are proper answer one can give. [emoji1531][emoji1531][emoji1531][emoji1544]
Hiki ni kishindo cha awamu ya 5 chini ya Rais mpendwa magufuli.
Maendeleo hayana chama.
View attachment 1463551