Na wewe kapite na mkweche wako huko siyo unajifanya kauzu kumbe lofa tu.So what?🤔 Mtaiita Magufuli flyovers, Majaliwa flyovers au Makonda flyovers?
hongereni sana watanxania safi sanaHiki ni kishindo cha awamu ya 5 chini ya Rais mpendwa magufuli.
Maendeleo hayana chama.
View attachment 1463551
MATAGA hata spelling zinapiga chengaExatil
Wakazi wa Daslam pigeni kelele kwa kwiooo wake MagufuliHiki ni kishindo cha awamu ya 5 chini ya Rais mpendwa magufuli.
Maendeleo hayana chama.View attachment 1463551
Haters tutaisoma number mbona? Kesho naenda kuishangaa wallah maana bado siamini.. Inaweza kuwa Photoshop hiiHiki ni kishindo cha awamu ya 5 chini ya Rais mpendwa magufuli.
Maendeleo hayana chama.View attachment 1463551
Huyu baba namkubali, Mungu akulindeHiki ni kishindo cha awamu ya 5 chini ya Rais mpendwa magufuli.
Maendeleo hayana chama.
View attachment 1463551
Limfugale..Mfugale
Na kule baharini Pillars zimeshazimama karibu zote, kinafuata kuweka beam! Ingawa kwa kule sisapoti sana naona ni misallocation of resources..Hiki ni kishindo cha awamu ya 5 chini ya Rais mpendwa magufuli.
Maendeleo hayana chama.
View attachment 1463551
Unaanza kumkubali?Hongera Rais na serikali ya awamu ya tano
Unaanza kumkubali?