Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 20,572
- 14,822
Una bahati!Too much is harmful.
Una bahati!Too much is harmful.
machalii zangu wakiushangaa MNARA
tuje Kenya kufwata nini? mnapenda mashindano na taifa la kipekee(Tanzania)Hiyo siyo Flyover ni daraja Kubwa...
Nendeni hapo Kenya Mkaone Thika Super Highway
Umechukizwa kichizi. Subiri Mbowe atajenga na yeye akikaa madarakani usifieIt is wonderful! Hayo yote uliyoyaandika, hakuna hata moja linalonihusu. Na pia mimi si Mataga wa Lumumba wa kusifia na kupongeza kila kitu, na wala si Kamanda wa huko Ufipa uliko kutaja.
Sijui huwa tunakoseaga wapi? Tulipaswa kujenga flyover ya uhakika mbona hatujafikia hata hii ndogo tu ya Kenya?Hii itaitwa Mbowe au Mnyika flyover ili mfurahi. Maana mnajifanya kuchukia halafu foleni zikiisha mnawahi ufipa kwenu kufuata malipo. So what, dont you see what is happening there to save people time and fuel
Nenda wewe!Hiyo siyo Flyover ni daraja Kubwa...
Nendeni hapo Kenya Mkaone Thika Super Highway
Haijalishi la umuhimu tuvukeSijui huwa tunakoseaga wapi? Tulipaswa kujenga flyover ya uhakika mbona hatujafikia hata hii ndogo tu ya Kenya?
View attachment 1463855
Pongezi ziende kw serekali ya awamu hiiHiki ni kishindo cha awamu ya 5 chini ya Rais mpendwa magufuli.
Maendeleo hayana chama.
View attachment 1463551
Cha ajabu nn hapo mkuu....Yani kwakuwa imekua ya duara ndo imekuchanganya ama? Ya kwetu is the best ukilinganisha na hup ujinga ulinionyesha hapo if umewahi fika I'll eneo laknSijui huwa tunakoseaga wapi? Tulipaswa kujenga flyover ya uhakika mbona hatujafikia hata hii ndogo tu ya Kenya?
View attachment 1463855
Miradi mingi ya ujenzi tunayofanya ni simplistic mno. Hata ile flyover ya Tazara haina tofauti na kadaraja ka mto. Inashangaza makutano makubwa nchi kama ya Ubungo kuwa na ka-simplistic interchanger kama hako!Cha ajabu nn hapo mkuu....Yani kwakuwa imekua ya duara ndo imekuchanganya ama? Ya kwetu is the best ukilinganisha na hup ujinga ulinionyesha hapo if umewahi fika I'll eneo lakn
Unajikuna mkono unapofikia mzee baba..Kama uwezo wako Ni wa vits utaacha kununua kisa Kuna V8. Tuache maisha ya kubeza beza...Miradi mingi ya ujenzi tunayofanya ni simplistic mno. Hata ile flyover ya Tazara haina tofauti na kadaraja ka mto. Inashangaza makutano makubwa nchi kama ya Ubungo kuwa na ka-simplistic interchanger kama hako!
Inashangaza jiji kubwa la Dar es Salaam lenye watu zaidi ya 6m na projection ya kuwa moja kati ya majiji makubwa zaidi (mega cities) by 2050 leo hii tunajenga vibarabara vya hovyo na viwanjwa vya ndege vidogo vilivyopaswa kujengwa Kigoma, Mbeya, Bukoba, etc.
Inashangaza mradi wa matrillioni kama wa SGR kuwa wa reli ya njia moja (single track railway)! Treni inayotoka Dar kwenda Moro inabidi isimame katika kila kituo kwa muda hata dakika 20 kusubiri treni inayotoka upande mwingine. Treni za single track zilijengwa na wajerumani mwaka 1905 wakati population ya watu Tanganyika ikiwa chini ya 2million na inshangaza tunajenga vitu kama hivyo miaka zaidi ya 120 baadaye wakati tukijitawala na idadi ya Watanzania ikiwa takribani 60 million!
Naweza kuendelea kutaja miradi mingi tu jinsi tunavyojenga kama vile tunajenga nyumba za makuti kwa ajili ya muda mfupi tu. Tunapoteza matrilioni yetu ya kukopa kwa kutokuwa na maono. Nasema hatuna maono! Hatujaweza kupangilia miji yetu yote tangu aondoke mkoloni. Huwezi amnini mipango miji iliyopo ni ile waliyofanya wajerumani miaka 1890 na waingereza 1930! Manzese, Changanyikeni, Buguruni, Kwa Morombo, Nyegezi, Mabogini, nk ndipo "tulipopanga" tangu uhuru!
Hivi ulishawahi kuona hako ka daraja ka nairobi, wala siyo ya duara ni robo duara. Labda kama unaongelea upana wa barabara sawa lakini na sisi tumeanza kupanua barabara zetu. Angalia hapo down vidaraja vya nairobi.Cha ajabu nn hapo mkuu....Yani kwakuwa imekua ya duara ndo imekuchanganya ama? Ya kwetu is the best ukilinganisha na hup ujinga ulinionyesha hapo if umewahi fika I'll eneo lakn