Kama wa Bumbuli mnaseme hivyo wa Lindi Kibiti road watasemaje.....?
Tatizo la barabara ni kubwa Nchini lakini Leo ni Vizuri Tupaangazie hapo kwa Bumbuli kwanza kabla ya kwenda kwingine .
Kama wa Bumbuli mnaseme hivyo wa Lindi Kibiti road watasemaje.....?
Hii ndio mentality ya Mtanzania msaka tonge. Always settling for less. Always trying to defend the indefensible...kisa NJAA. Ubovu wa Mkapa si uimara wa January. Mapungufu ya Kikwete si umahiri wa January. Uzembe wa Lowassa si ubora wa January. Suala si waliotangulia WAMEBORONGA PIA bali MTARAJIWA AMEFANYA LIPI la kumfanya awe sahihi au tofauti na hao ulowataja.
Tanzania imepata uhuru lini?
Kama mbunge huwa anajua barabara si kazi yake iweje wakati wa Kampeni huwa wanawahidi wananchi barabara nzuri? ina Maana ahadi za mbunge wakati wa kampeni zilikuwa za Uongo?Navyojua mimi mpumbavu ni yule asie elewa sasa umeshaambiwa usimamizi wa barabara upo chini ya wizara ya ujenzi, zingine zipo chini ya ofisi ya waziri mkuu na serikari za mitaa unajuaje mipango na budget zao hizo sehemu na mikakati yao au unafikiri mmbunge anatakiwa ajenge kwa hela zake mwenyewe hizo barabara kama jamaa hawapo tayari mwerevu wewe?
Kwa hiyo wewe unataka hadi miaka mingapi ndio maendeleo kwa maana ya ubora wa barabara yaonekane? ndio maana CCM hata baada ya miaka 50 wanaona nchi bado changa kupata maendeleo yanayoonekana!
Kwa mujibu wa mdau, kwa kuwa waliotutangulia waliboronga basi na sisi tuendelee kuboronga, thinking hii ni kituko cha mwaka.
Mkapa alitatua matatizo yote Masasi? Alikuwa mbunge miaka mingapi?
Kikwete alitatua matatizo yote ya Chalinze na Bagamoyo? Alikuwa mbunge miaka mingapi?
Lowassa amemaliza shida zote za Monduli? Amekuwa mbunge miaka mingapi?
Pinda, Membe wote wamemaliza umaskini majimboni kwao na barabara zote safi?
Mbowe amemaliza shida zote za Hai? Au Dr Slaa amemaliza kero zote za Karatu?
Kwa hiyo wewe unataka hadi miaka mingapi ndio maendeleo kwa maana ya ubora wa barabara yaonekane? ndio maana CCM hata baada ya miaka 50 wanaona nchi bado changa kupata maendeleo yanayoonekana!
Nadhani ndio maana Makamba anataka agombee urais ili awasaidie wakazi wa Bumbli ama watanzania wengine. Kwa ubunge tu sio rahisi kuwaletea maendeleo katika kila Nyanja
Tatizo lenu ni hilo la kutaka kumtia makosa Makamba kana kwamba lile jimbo lina miaka 25.
Kwann hukueka zuri alilofanya kuhusu barabara then ndio umkosoe ?
Yaani hili ni JIMBO JIPYA halina hata MIAKA 15; Lilianzishwa na Mzee Shelukindo; Sasa unataka liwe na kila kitu sababu tu MAKAMBA ni MBUNGE?
What a JOKE... inaonyesha ni baadhi ya sisi wananchi ndio tumechoka hatujui Maendeleo ni nini
c.c NOT FOUND
Tatizo la barabara ni kubwa Nchini lakini Leo ni Vizuri Tupaangazie hapo kwa Bumbuli kwanza kabla ya kwenda kwingine .
mkuu jamaa alimaanisha jimbo lilianzishwa na Shelukindo miaka 15 iliyopita, hakutaja habari ya kuwa halmashauri, Janauary ndo alianza na ikawa halmashauri miaka 4 iliyopita,Jamani hebu msomeni huyo bwana katikati ya mistari amejaribu kutoa mifano ya wilaya zee zaidi ya hiyo kama kielelezo cha utendaji wa serekali yetu sikivu. Au sio nngu007.
Kwa hiyo wewe unataka hadi miaka mingapi ndio maendeleo kwa maana ya ubora wa barabara yaonekane? ndio maana CCM hata baada ya miaka 50 wanaona nchi bado changa kupata maendeleo yanayoonekana!
Yaani hili ni JIMBO JIPYA halina hata MIAKA 15; Lilianzishwa na Mzee Shelukindo; Sasa unataka liwe na kila kitu sababu tu MAKAMBA ni MBUNGE?
What a JOKE... inaonyesha ni baadhi ya sisi wananchi ndio tumechoka hatujui Maendeleo ni nini
c.c NOT FOUND