deepsea
JF-Expert Member
- Aug 10, 2013
- 3,287
- 947
Usipotoshe watu,ninayoizungumzia ni ya temeke kwa sokota
Na mafisi yapo
Usipotoshe watu,ninayoizungumzia ni ya temeke kwa sokota
gosh. If you can see these letters, then you do see all things.
Kwa ufupi hii ni ile ya pale mwembe yanga.
Jana mida ya SAA name usiku nilipita pale,watu wanakula monde kama kawa.na ile Huduma nyingine ya madada poa nayo ipo active kwa kiwango cha kuridhisha.
nipo migomigo Kisuma hapa njoo ule bia.Kwa wale wazee wa monde a.k.a maji a.k.a biere wanapafaham sana mahala hapo.
Taarifa ni kwamba baada ya kuipangisha bar hiyo kwa muda mrefu na hata kubadilishwa jina toka sugar ray kuwa kisuma night club,hii leo imefungwa rasmi kwa takribani miezi 4 kupisha ukarabati na kuirudisha kwa mmiliki wake.
ANGALIZO: huduma ile ya dada poa haipo tena!!!
Band za muziki na wapenzi wa soccer
Pumbavu.Ilifungwa pia mwezi uliopita, imefunguliwa upya.
Kuna ukumbi opposite na hapo unaitwa LOVINGTONE ,papo classic sana.Pumbavu.
Sema hapana parking hapo.
Hafu pisi za temeke chafu chafu sana.
Parking ya kutosha na huduma za wale watu kama kawa? Panakesha?Kuna ukumbi opposite na hapo unaitwa LOVINGTONE ,papo classic sana.
Ndio ila bei yake haipungui Elfu 50 kwa short time.Parking ya kutosha na huduma za wale watu kama kawa? Panakesha?
TEMEKE NITOE FIFTE?Ndio ila bei yake haipungui Elfu 50 kwa short time.
Kakudanganya hata 200 unapataTEMEKE NITOE FIFTE?
NO WAY BRO..
NGOJA NIKAPARK SINZA