Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,861
- 25,771
BAO LA ASUBUHI , likitamkwa tiu, wanandoa wana reflect "Morning glory" sasa basi Ukiwa mezani kwako na mume na watoto wako, Ukawasha redio TBC, ukasikia “bao la asubuhi leo ni tamu ” leo umelipata tokea wapi?
Watoto na mume watawaza kitu gani ?
Picha gani ya kwanza itakuja kwa mabinti zako na wajukuu waliofunga chuo na shule?
Watoto na mume watawaza kitu gani ?
Picha gani ya kwanza itakuja kwa mabinti zako na wajukuu waliofunga chuo na shule?