Bao la Usabuhi ni “Matusi?”

Bao la Usabuhi ni “Matusi?”

Ukiwa mezani kwako na mume na watoto wako, Ukawasha redio TBC, ukasikia “bao la asubuhi leo ni tamu ” leo umelipata tokea wapi?

Watoto na mume watawaza kitu gani ?
Picha gani ya kwanza itakuja kwa mabinti zako na wajukuu waliofunga chuo na shule?

View attachment 3601713
Hawa watangazaji uchwara wa siku hizi hajitambui wala hawa aibu ni hovyo sana.
 
Well and good. TCRA wapo tu, hili neno halina ladhan kwenye sikio wala kutamka. Wajukuu zangu wamefunga shule, mmoja akaniuliza "bibi bao la asubuhi " ni nini, nikampotezea kama sijasikia, nikajuta kufungua hiyo stesheni!
TCRB au wala rushwa tu wamejazana pale??
 
Back
Top Bottom