Aisee! sijui unaweka wapi sura yako! 🤔Na umeamka una furaha una-glow mara vaaap redio inazungumzia CHA ASUBUHI....
Ndio haohao ninaofikiria mimi, kwani mawazo yanafanana?Anafikir hawa watoto ni sisi tuliambiwa tumenunuliwa hospitali na tukaamini.
sukari iko juu😅
Utamu wake upoje thibitishaNdoa tamuu
nkafikiri ulitekwa Poor Brain dronedrakeHiyo n kwa ajili ya kuvuta attention tuu nothing more, kama hv wakiona h post watafurahi mana walichokitaka kimetimia.
Wahuni tu,Ukiwa mezani kwako na mume na watoto wako, Ukawasha redio TBC, ukasikia “bao la asubuhi leo ni tamu ” leo umelipata tokea wapi?
Watoto na mume watawaza kitu gani ?
Picha gani ya kwanza itakuja kwa mabinti zako na wajukuu waliofunga chuo na shule?
View attachment 3601713
TBC ilishapoteza mvuto tangu aondoke dastan tido mhando hata mtu atangaze akiwa uchi hakuna wa kuangalia na hii ni kutokana na uvhawaUjingq ujinga tu. Kuvuta attention wajinga mara nyingi hutumia controversies.
ndio kwanza naisikia , uilete!
Walinikosakosankafikiri ulitekwa Poor Brain dronedrake
Utumishi wameshanivuruga, afu huku napo nianze kuvurugana na watu kisa upuuzi.sukari iko juu😅
reciprocating pumpnkafikiri ulitekwa Poor Brain dronedrake
Watu wanapanic on anything lol🤣Utumishi wameshanivuruga, afu huku napo nianze kuvurugana na watu kisa upuuzi.
Hapana hiyo
Ah wakafie mbele hukoWatu wanapanic on anything lol🤣