Bao hili la ndotoni, nini tafsiri yake?

Bao hili la ndotoni, nini tafsiri yake?

Usiku wa kuamkia siku ya Leo haukuwa usiku mzuri kwangu japo niliweza kupunguza uzito kimiujiza.

Nilikutana na mrembo niliyemfukizia kitambo sana akanikubalia bahati mbaya tukapotezana bila kunipa papuchi...

Baada ya kumuona stori za hapa na pale nikaanza kuomba papuchi mtoto akanikubalia tukatafuta room ya kwenda kamwaga sumu..

Tumefika ndani ya room anaanza kuzingua Mara ohhh Nina haraka sana tufanye siku nyingine nikabembeleza mtoto mwenyewe akakubali kuachia mzigo..

Huku na Kule Mara wazungu wakanitokaaaa ...kuja kushtuka kumbe ilikuwa ndoto ila tayari nimejichafua..

Naitizama kama ndoto mbaya kwangu usiku wa kuamkia Leo

Kwa wenye ufahamu zaidi na ndoto za aini hii naomba mnipe tafsiri ya hii ndoto
Nina ndoto wewe kamua tu,ukikutana na mrembo ndotoni wewe mkamue tu mpaka aombe po
 
your dream means,
Huyo dada uliyemwona ni jambo gumu ulilokuwa unalihangaikia mda mrefu,lakin bdala yke mda si mrefu utapata kipenyo ktoka kwenye hlo tatzo.
 
Mbona kawaida mzee!nakumbuka kipindi nipo bachela nilikuwa naota sana hizi ndoto sasa nilikuwa nimezoea kuamshwa na alarm siku ikitokea ndiyo moto umekolezwa nausikilizia then alarm ikalia nilikuwa natamani hata kisimu chenyewe nikitupilie mbali!nimeziota sana hizi ndoto sometimes naota niko na wake za washkaji kiboko ni siku niliyoota niko na msengerema...noma sana!
 
Mbona kawaida mzee!nakumbuka kipindi nipo bachela nilikuwa naota sana hizi ndoto sasa nilikuwa nimezoea kuamshwa na alarm siku ikitokea ndiyo moto umekolezwa nausikilizia then alarm ikalia nilikuwa natamani hata kisimu chenyewe nikitupilie mbali!nimeziota sana hizi ndoto sometimes naota niko na wake za washkaji kiboko ni siku niliyoota niko na msengerema...noma sana!
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom