nina ndoto
Member
- Feb 6, 2018
- 40
- 28
- Thread starter
- #21
[emoji15] [emoji15] [emoji15][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji15] [emoji15] [emoji15][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Aje live ili iweje ulitaka tafsiri umeshapewa naona unataka engine sasaKwanini hakuja live live
basi n kawaida hiyo kwa watoto mnaobalehe,ni pm nikupe taarifa zaidi
basi n kawaida hiyo kwa watoto mnaobalehe,ni pm nikupe taarifa zaidi
hahaha ndio anabalehe huyu dogonina ndoto umejiunga Leo ili uje kupost ujinga huu?
nina ndoto Uzi wako wa Kwanza umeonyesha wewe ni zuzumagichahaha ndio anabalehe huyu dogo
Watoto wa mjini tunasema una ukeke Sana (ukame)Usiku wa kuamkia siku ya Leo haukuwa usiku mzuri kwangu japo niliweza kupunguza uzito kimiujiza.
Nilikutana na mrembo niliyemfukizia kitambo sana akanikubalia bahati mbaya tukapotezana bila kunipa papuchi...
Baada ya kumuona stori za hapa na pale nikaanza kuomba papuchi mtoto akanikubalia tukatafuta room ya kwenda kamwaga sumu..
Tumefika ndani ya room anaanza kuzingua Mara ohhh Nina haraka sana tufanye siku nyingine nikabembeleza mtoto mwenyewe akakubali kuachia mzigo..
Huku na Kule Mara wazungu wakanitokaaaa ...kuja kushtuka kumbe ilikuwa ndoto ila tayari nimejichafua..
Naitizama kama ndoto mbaya kwangu usiku wa kuamkia Leo
Kwa wenye ufahamu zaidi na ndoto za aini hii naomba mnipe tafsiri ya hii ndoto
[emoji15] [emoji15] [emoji15] Alaa kumbe!Kuna mwanaume yoyote balehe ambaye hajawahi kutingisha nyavu ndotoni?
Ikinitokea Mimi nitasemaNaanzaje
Tizama post zako zote na ya kwangu utajua Mimi na wewe nani mjinganina ndoto umejiunga Leo ili uje kupost ujinga huu?
Pm maana yake ninibasi n kawaida hiyo kwa watoto mnaobalehe,ni pm nikupe taarifa zaidi
Linganisha post yangu ya Kwanza Na yako ya kwanzaTizama post zako zote na ya kwangu utajua Mimi na wewe nani mjinga
Bora yako wewe unayo akili lakini unapost kwenye Uzi wa zuzumagicnina ndoto Uzi wako wa Kwanza umeonyesha wewe ni zuzumagic
Nitaacha hayo mawazoPole sana mkuu.ila hii Cyo dalili nzuri sana inaonekana ulikuwa unawaza sana kuhusu papuchi ndiyo maana.
Nina ukame sio wa kitotoWatoto wa mjini tunasema una ukeke Sana (ukame)
Waulize tuwasikieKuna mwanaume yoyote balehe ambaye hajawahi kutingisha nyavu ndotoni?