Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,226
nataka kuombewa
naogopa kila nayemwita anakuja.
Ila hii biashara wewe 30% bana.
Ujue hadi nimekonda kwa kuwaita hawa.
naogopa kila nayemwita anakuja.
Ila hii biashara wewe 30% bana.
Ujue hadi nimekonda kwa kuwaita hawa.
Konnie kipaji kipo aisee. . .
Sasa kama unavyojua mimi na wewe ishu zetu tunazimaliza na kuzifanya kifamilia zaidi, nategemea kuwa partner wako wapekee kwenye kazi na mapato kwa 50%. Ngoja nifanye mpango wa kukutangaza rasmi.