Wala usipandishe mzuka hapa lazima uelewe wikienda ndo imeanza inawezekana ameshapitia mahali akapata hv huoni hata masaa yenyewe? sasa hivi frequencies za SW zimefungwa na kufungulia FM
Hahahahahah lol! nilikuwa sijui kama wanachama wanaweza kujifungia wenyewe πππ hebu nipe maujuzi ya kujifungia (kitufe kipi unabonyeza hahahahah lol!) ili uweze kujifungia badala ya kuwasumbua MODS. Unamwaga razi (isomeke radhi) jamvini halafu unajifungia kama kwa mwezi mzima hivi ππ
Yako iko wapi?Anyway nimemuona! Mi nayataka mabandiko yangu seriously! Kuna watu humu wanataka tu usitofautiane nao, if u dare to, lazima wakutusi.Sasa sikopishi mtu hapa, tit for tat! Bring it on and i will dance to the rythm!