Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,627
- 154,983
Kumbe damu tunayojitolea mahospitali wao masons huiiba na kisha kuinywa na kujipaka usoni ili wacha Mungu wawaogope
Hakuna cha damu,waafrika p w botha alisema kwenye speech yake cc ni wazuri wa kupiga makelele,washamba sana,kila cku freemason
umbeya mwingine bwana...Kaka si useme moja kwa moja ni mkapa? Au kuna kiongoz mwingine wa juu unaemmaanisha..?
This topic is very low. Where are the Mods?.
Si waende benki ya dam pale africentre
Mbona nimeshawasoma sana, tena kati ya secret societies, Freemasons ndio wako transparent unawajua kwa majina na Grand Lodge zao ziko openly!.Freemasons are devil worshpers and nothing else. Kama unataka kumuabudu shetani sisi hatuwezi kukuzuia. Nakushauri ufahamu kwanza, usije ukapima kina cha maji kwamiguu miwili.
Kuna msaafu wao unaitwa Morals and Dogma utakueleza who are Freemasons. Ni msaafu ambao upo online.
Pia kabla ya kujiunga google the secret behind secret societies itakusaidia kuelewa
hapo ni corporate bank kaka ,kama una hela ya vitumbua nenda PrideNaomba kuuliza, hivi Mwananchi wa kawaida kama mimi ninaruhusiwa kufungua akaunti hapo? au mpaka niwe member wa freemason?
Mkuu ukitaka kujua ukweli tafuta sababu walizotoa Vatican kupiga marufuku Mkatoliki yeyote kujiunga na hawa jamaa! Sura yao kwa nje wanajifanya watu wa upendo lakini ndani ushetani mtupu.usiombe kuingia mkuu!Mbona nimeshawasoma sana, tena kati ya secret societies, Freemasons ndio wako transparent unawajua kwa majina na Grand Lodge zao ziko openly!.
Hapa Tanzania kuna members wa Rosea Crusis wanaitwa rosecrusians hata kuwajua huwezi, Grand Lodge yao iko secret place maeneo ya Upanga, hawa ndio wenye real dark powers, hawafuati principle ya distance and time. Huwezi kuwajua kabisa, Masons ni kama Lions au Rotary clubs tuu!. Hiyo habari ya kunywa damu si kweli ni uzushi tuu.
Mkuu ukitaka kujua ukweli tafuta sababu walizotoa Vatican kupiga marufuku Mkatoliki yeyote kujiunga na hawa jamaa! Sura yao kwa nje wanajifanya watu wa upendo lakini ndani ushetani mtupu.usiombe kuingia mkuu!
Hii Bank M ndiyo ilitumika kuzituliza pesa za EPA na kuziitawanya from there.Nimepata taarifa za ndani kutoka Bank M kwamba wamiliki ni mlengo wa Freemason. Mtoa taarifu aliambiwa wanataka damu ya watu.
Mmoja kati ya Wamiliki aliisha shika nafasi ya juu serikalini na pia kuna ushahidi kwamba ni mwanachama wa Rottery ambayo ni tawi la Freemason.
Napata corroboration zaidi kutokana na ushirikiano wa karibu kati ya Rottery na Bank M. Naddhan mtakumbuka kwamba walitangaza hapa Jf kwa pamoja kufanya mbio za ridhaa.
Andy Chande, ambaye anafahamika kuwa ni Freemason wa degree za juu ana uhusiano wa kaibu sana na mmoja wa wamiliki wa Bank M.
...hilo liko wazi. Hiyo bank-M ni bank ya kishetani. Ingekuwa ni bank ya kawaida,tungewaone kujihangaisha kutafutatafuta wateja. Kwa miaka yangu minne niliyokuwa chuoni,karibu kila benki ilishawahi kufika kujitangaza pale ili kupata wateja. Hata siku moja sijaona maofisa wa benki hiyo.