Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Wanabodi, mbona humu jamvini kuna topic ya Freemasons inside out, hayo mambo ya kutaka damu yanatoka wapi?.
Freemasons ni society tuu kama zilivyo Lions na Rotary, hata mimi binafsi najipanga kujiunga na freemasons.
Unafikiri ni CCM ama CUF. Eti hata mimi najipanga kuijiunga na freemasons !
Wanakujua wewe! Ama ndo unapigia chepuo!