Bank M, full Massonry

Wanabodi, mbona humu jamvini kuna topic ya Freemasons inside out, hayo mambo ya kutaka damu yanatoka wapi?.

Freemasons ni society tuu kama zilivyo Lions na Rotary, hata mimi binafsi najipanga kujiunga na freemasons.

Unafikiri ni CCM ama CUF. Eti hata mimi najipanga kuijiunga na freemasons !
Wanakujua wewe! Ama ndo unapigia chepuo!
 
mmoja wa watajwa director aliwahi fanya kazi central bank of tanzania mwisho wa siku aliiba mipesa yote bank kisha akaipiga kiberiti,mzee kifimbo akamtimua bongo na akamwambia asitie mguu mpaka atakapokufa,ndivyo ilivyotokea na jamaa baada ya mzee kifimbo kudondoka akarejea na sasa ni "MP"too.
 
inautata hii bank coz they even never advertise their services....na most of the adverts mfano zilizopo barabara ya coco beach it seems wanadeal na watu wenye mapesa makubwa ya kuhamisha nje ya nchi na sehemu kama hizo ..... may be ni benki ya mafisadi tu...

Ndugu kasome maana ya corporate bank.Hii ni bank inayojihusisha na mikopo kwa kampuni rasmi(corporates) hawana na malengo na akaunti za kupitishia misharaha.Hawa wamelenga high end clients.
 
mmoja wa watajwa director aliwahi fanya kazi central bank of tanzania mwisho wa siku aliiba mipesa yote bank kisha akaipiga kiberiti,mzee kifimbo akamtimua bongo na akamwambia asitie mguu mpaka atakapokufa,ndivyo ilivyotokea na jamaa baada ya mzee kifimbo kudondoka akarejea na sasa ni "MP"too.

Sasa mbona katika hayo majina ya Directors sioni jina la mtu aliyefanya kazi BOT. Nimrod Mkono au Iddi Simba hawajawahi kuwa waajiriwa wa Benki Kuu ya Tanzania
 
mmoja wa watajwa director aliwahi fanya kazi central bank of tanzania mwisho wa siku aliiba mipesa yote bank kisha akaipiga kiberiti,mzee kifimbo akamtimua bongo na akamwambia asitie mguu mpaka atakapokufa,ndivyo ilivyotokea na jamaa baada ya mzee kifimbo kudondoka akarejea na sasa ni "MP"too.

Katika hayo majina ya Directors yaliyotajwa hapa sioni jina la mtu yeyote aliyefanya BOT
 
kama sikosei nimrud mukono alikuwa legal officer wa BoT wakati jengo linaunguzwa moto mara baada ya kukomba hela,jamaa huyu mpenda kuvaa kikofia cha waganga wa kienyeji alikimbilia nje,Mchonga akamwambia asikanyage ardhi ya tz,lakini ajabu ni kwamba alikuwa akikutana nae huko,sijui hapa aliwazuga watz au la,akimtuhumu mwizi
 
Nafikiri, neno nimepata taarifa za ndani lazima iishie toka.................; ili thread kama hizi zisiitwe tetesi au dhanio au tungo au uzushi au
 
Mkuu ukitaka kujua ukweli tafuta sababu walizotoa Vatican kupiga marufuku Mkatoliki yeyote kujiunga na hawa jamaa! Sura yao kwa nje wanajifanya watu wa upendo lakini ndani ushetani mtupu.usiombe kuingia mkuu!
Mkuu Mtazamo, kwanza ndio leo nimejua kuwa kumbe sisi Wakatoliki haturuhusiwi kujiunga Freemason!.

Kwenye hizi secret societies, sisi Katoliki pia tuna mambo yetu. Mimi nilibahatika kutembelea pale St. Peter's Basilicca, lile dungu la mviringo, sphere kule juu ni pure gold, find out ilitoka wapi?. Ile fimbo ya Pope nayo ni pure gold, find out historia yake.

Kisha tafuta kitu kinachoitwa Wicca, ujue Kanisa Katoliki liliwafanya nini watuhumiwa wa Wicca, lakini kitu cha ajabu kabisa, chini ya kanisa kuna underground library iliyoshehenezwa vitabu vyote vya Wicca na vitabu vingine vyote vilivyopigwa marufuku na Kanisa Katoliki. Kufika huku kuna open passage na pia kuna secret passage!. Find out hiyo secret passage ni ya nini na kwa nini vitabu hivyo vimehifadhiwa?!.

Kwenye ibada zetu, tunafukiza ubani, tunakunywa divai, tuna paka maji ya baraka, tuna mafuta ya upako wa mwisho, ndani ya makanisa yetu tuna sanamu za Yesu, mapadri wetu wanavaa misalaba mikubwa, maaskofu wetu, wanavaa pete na misalaba minene ya pure gold!. Vitu vyote hivi vinatoka Roma, Italy hawana dhahabu, find out thahabu ya Kanisa Katoliki inatoka wapi?, and read a bit, who really funds the Pope, zaidi ya fedha za sadaka, na hao wanao fund the church, hizo fedha wanapata wapi na wana biashara gani?!.

Ukiishapata majibu ya maswali hayo, ndipo utagundua kwa nini Kanisa Katoliki limepiga marufuku waumini wake not only kujiunga na freemasons tuu, bali ni marufuku kwa Mkatoliki kujiunga na secret societies zozote!.

P
 
kama sikosei nimrud mukono alikuwa legal officer wa BoT wakati jengo linaunguzwa moto mara baada ya kukomba hela,jamaa huyu mpenda kuvaa kikofia cha waganga wa kienyeji alikimbilia nje,Mchonga akamwambia asikanyage ardhi ya tz,lakini ajabu ni kwamba alikuwa akikutana nae huko,sijui hapa aliwazuga watz au la,akimtuhumu mwizi
Sasa ni mbunge wa Bitiama kaburini kwa mchonga
 
Bado sijaelewa namna hili jambo linavyofanya kazi, damu/bank/pesa/mteja.

Kwamba ukiwa mteja wa hiyo bank nini kinakutokea?? Nahitaji ufafanuzi toka kwa mleta mada.
 
Freemasons are devil worshpers and nothing else. Kama unataka kumuabudu shetani sisi hatuwezi kukuzuia. Nakushauri ufahamu kwanza, usije ukapima kina cha maji kwamiguu miwili.

Kuna msaafu wao unaitwa Morals and Dogma utakueleza who are Freemasons. Ni msaafu ambao upo online.

Pia kabla ya kujiunga google the secret behind secret societies itakusaidia kuelewa
Namna ya Ku join mkuu tumesoma secret nyingi sana Ku wahusu hao mabwana lkn Ku join ndo ishuu papa
 
Wanabodi, mbona humu jamvini kuna topic ya Freemasons inside out, hayo mambo ya kutaka damu yanatoka wapi?.

Freemasons ni society tuu kama zilivyo Lions na Rotary, hata mimi binafsi najipanga kujiunga na freemasons.
Mkuu ulishajiunga?
Tupeana utaratibu tafadhali!
 
Wanabodi, mbona humu jamvini kuna topic ya Freemasons inside out, hayo mambo ya kutaka damu yanatoka wapi?.

Freemasons ni society tuu kama zilivyo Lions na Rotary, hata mimi binafsi najipanga kujiunga na freemasons.
Mwalimu wetu aliwahi kutuambia a semi-cooked lawyer is as dangerous as a semi-cooked medical practitioner maana anaweza kuua clients wake kwa kushindwa kutoa huduma ya kisheria sawa sawa. SASA na hapa kuhusu swala la freemasonry ni hivyo hivyo. Watu wamelishwa taarifa za hovyo kutoka kwa watu wasiokuwa na uelewa wowote kuhusu hiyo society matokeo yake ndiyo haya ya kusema wanataka damu za watu. Mawazo ya ajabu na kijinga kabisa haya
 
Back
Top Bottom