Gomba oyeee! Hii kitu ukiwa addicted bao linatoka bila breki.
Gomba oyeee! Hii kitu ukiwa addicted bao linatoka bila breki.
Kwani tumemtaja mtu yeyote kutoka Kenya mkuu?Kenya!
kama una kichwa resi...ukivuta bhangi, unaweza tembea na tochi mchana
Daaah, we jamaa huna maana kabisa. Mecheka sana
Daaah acheni kuniua huku jamaniNi kweli kwani kuna jamaa yangu mmoja kipindi kaja likizo toka shule....alienda kujipulizia mjani pori na washikaji zake. Jamaa alilipuliza mpaka akawa anashindwa kuona ikabidi achukue bodaboda kurudi nyumbani. Kurudi nyumbani huko njiani walikutana na magari ya mizigo imepaki kupakia magunia ya nafaka, jamaa yangu akamkaba koo dereva akimgombeza kwa nini anakimbizana na ndege (yaani lile lori), kuona dereva anazidi kwenda spidi jamaa akajitupa chini eti alikuwa hataki kwenda angani na pikipiki. Kuja kushitukia kavunjika miguu yote miwili na collarbone.
Dah! Anaendeleaje hivi sasa?Ni kweli kwani kuna jamaa yangu mmoja kipindi kaja likizo toka shule....alienda kujipulizia mjani pori na washikaji zake. Jamaa alilipuliza mpaka akawa anashindwa kuona ikabidi achukue bodaboda kurudi nyumbani. Kurudi nyumbani huko njiani walikutana na magari ya mizigo imepaki kupakia magunia ya nafaka, jamaa yangu akamkaba koo dereva akimgombeza kwa nini anakimbizana na ndege (yaani lile lori), kuona dereva anazidi kwenda spidi jamaa akajitupa chini eti alikuwa hataki kwenda angani na pikipiki. Kuja kushitukia kavunjika miguu yote miwili na collarbone.
Daaah acheni kuniua huku jamani
Dah! Anaendeleaje hivi sasa?
Ni kweli kwani kuna jamaa yangu mmoja kipindi kaja likizo toka shule....alienda kujipulizia mjani pori na washikaji zake. Jamaa alilipuliza mpaka akawa anashindwa kuona ikabidi achukue bodaboda kurudi nyumbani. Kurudi nyumbani huko njiani walikutana na magari ya mizigo imepaki kupakia magunia ya nafaka, jamaa yangu akamkaba koo dereva akimgombeza kwa nini anakimbizana na ndege (yaani lile lori), kuona dereva anazidi kwenda spidi jamaa akajitupa chini eti alikuwa hataki kwenda angani na pikipiki. Kuja kushitukia kavunjika miguu yote miwili na collarbone.
Nipe moja nikate kachumbaliMiraa na bangi si mchezo, jicho nyanya
ilo jani mpaka mapepo wanaliogopa unafkiri mchezo..nikikumbuka mara ya kwanza kulitumia..iko kutuko nilichokifanyaa...acha tu![]()
Ni kweli kwani kuna jamaa yangu mmoja kipindi kaja likizo toka shule....alienda kujipulizia mjani pori na washikaji zake. Jamaa alilipuliza mpaka akawa anashindwa kuona ikabidi achukue bodaboda kurudi nyumbani. Kurudi nyumbani huko njiani walikutana na magari ya mizigo imepaki kupakia magunia ya nafaka, jamaa yangu akamkaba koo dereva akimgombeza kwa nini anakimbizana na ndege (yaani lile lori), kuona dereva anazidi kwenda spidi jamaa akajitupa chini eti alikuwa hataki kwenda angani na pikipiki. Kuja kushitukia kavunjika miguu yote miwili na collarbone.
[emoji23] [emoji23] nizaidi ya kukimbiza nzi...ila bangi ina raha yake asikuambie mtuUsiniambie ulikuwa unakimbizana na nzi ukiwa uchi, kuna jamaa alikimbiza nzi eti anadai alikuwa anamchungulia akiwa haja, watu walio jirani wacha wamkimbize kudhani ni chizi kumbe network ilichomoka kwa muda tu. Bangi bwana.
Dah! Ndo maana hiyo kitu inapigwa vita aiseeNi miaka 16 imepita sasa na bado yuko na magongo yake anatembelea.
Hapana ila kuna mwelekeo kwa mtu fulani! Tuyaache!Kwani tumemtaja mtu yeyote kutoka Kenya mkuu?
Mwanangu huyo jamaa yako alirudia Tena kuvuta BANGI?
[emoji23] [emoji23] nizaidi ya kukimbiza nzi...ila bangi ina raha yake asikuambie mtu