Cheche Mtungi
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 2,619
- 771
===>Uruguay imekuwa nchi ya kwanza kabisa duniani kuruhusu uzalishaji,uuzaji na utumiaji wa bangi
===>Picha hizo ni za wadau wakishangilia kupitishwa kwa sheria hiyo
===>Nahisi hata baadhi ya viongozi wa juu wa nchi hiyo ni mashabiki na watumiaji wa majani aka GANJA.
===>Kwa maelezo zaidi soma hapa:Uruguay legalises the sale and production of cannabis | Mail Online