Sio siri leo acc yako FF imeingiliwa kabisa kama sio hivyo leo utakua umepiga hi kitu, sio bure!
watu watahamia huko...
Duh! kwanini useme hivyo? mimi ningependelea bangi isiwe marufuku Tanzania. Kuifanya marufuku kuna madhara makubwa sana kuliko kuiwachia itumiwe huru.
We mama nakuheshimu sana na huo mtandio wako.
Loh! kumbe huenda unakula msuba, majanga hayo tena.......!
View attachment 126200View attachment 126201View attachment 126202View attachment 126203
===>Uruguay imekuwa nchi ya kwanza kabisa duniani kuruhusu uzalishaji,uuzaji na utumiaji wa bangi
===>Picha hizo ni za wadau wakishangilia kupitishwa kwa sheria hiyo
===>Nahisi hata baadhi ya viongozi wa juu wa nchi hiyo ni mashabiki na watumiaji wa majani aka GANJA.
===>Kwa maelezo zaidi soma hapa:Uruguay legalises the sale and production of cannabis | Mail Online
je kipi bora Rais kupiga jani au Rais kupenda kupiga mkuyati hadi anakuwa maarufu kwa watoto kuwa anpenda totoz ?
ni heri apige jana kuliko kula ngozi 'totoz'
Dini yangu inakataza chochote chenye madhara. Hata pombe zinakatazwa kwa dini yangu, mbona viwanda vimejaa na pombe zinauzwa na kunywewa kila pembe ya nchi?
Mimi nnatumia bangi si kwa kulewa na nnatumia "alcohol" si kwa kulewa, usiingize mambo ya dini hapa.
Serikali ina dini?
Hakuna ata jema hapo!
xawa jema halipo lakini kwa hayo mawili jema lipo
Nadhani haujafuatilia na kumuelewa vizuri FaizaFoxy anachomaanisha ni kwmba, tumedanganyika kwa kuangalia upande mmoja tu wa bangi tukaacha kuiangalia kwa mtazamo wa pili ambao kuna manufaa/ matumizi mengine yenye faida. Matumizi ya bangi sio kuvuta tu!
Leo Naona wapenzi Wa kitu wako hazarani!
Faiza Foxy
Jamani na sembe vipi mbona hua hamjitokezi hivi?
dini yako inaruhusu hii??umekuaje leo...
Wewe umejuaje hivyo?
ha ha lazma wadau waongezeka kwan hata sembe wanaongezeka tu uckonde wauzaji na wa2miaji wapo xo population inaongezeka