peri
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,579
- 1,164
Hayo madhara ni yepi?
Mimi natumia lakini si kwa kulewea.
Unajuwa bangi ni mboga nzuri tu na ni dawa nzuri sana ya magonjwa mengi na pia ina matumizi mengi sana yenye faida?
Tatizo wenge wanatumia kwa matumizi yasofaa, ndomana ni bora zaidi ikaharamishwa kuliko kuhalalishwa.
Madhara ni mengi, jaribu kupitia hizi makala:
F O U R W A Y S B U K O B A: ZIJUE ATHARI ZA BANGI NA ASILI YAKE
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/412059-marijuana-side-effects-madhara-ya-uvutaji-wa-bangi.html
Na mengine ndo haya: