Bando la chuo

Vladimir Lenin

JF-Expert Member
Jul 21, 2018
3,613
5,101
Nilinunua line ya tigo ya chuo juzi na kuisajili kwaajili ya internet tuu, niliambiwa kuwa ukiweka 2000 unapata 4gb kwa wiki, kweli baada ya kuikamilisha menu ilikuwa hyvyo na niliunga, sasa leo naicheki tena haipo, vp wakuu kuna menu yoyote zaidi ya tigo ya kupata gb za kutosha kwa wiki kwa gharama ya angalau 2000?




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilinunua line ya tigo ya chuo juzi na kuisajili kwaajili ya internet tuu, niliambiwa kuwa ukiweka 2000 unapata 4gb kwa wiki, kweli baada ya kuikamilisha menu ilikuwa hyvyo na niliunga, sasa leo naicheki tena haipo, vp wakuu kuna menu yoyote zaidi ya tigo ya kupata gb za kutosha kwa wiki kwa gharama ya angalau 2000?




Sent using Jamii Forums mobile app
Madogo wamekupiga!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilinunua line ya tigo ya chuo juzi na kuisajili kwaajili ya internet tuu, niliambiwa kuwa ukiweka 2000 unapata 4gb kwa wiki, kweli baada ya kuikamilisha menu ilikuwa hyvyo na niliunga, sasa leo naicheki tena haipo, vp wakuu kuna menu yoyote zaidi ya tigo ya kupata gb za kutosha kwa wiki kwa gharama ya angalau 2000?




Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ni mjini
Tigo wanauza laini zao kwa ujanja huo siku hizi.
Kinachofanyika ni kukuuzia laini wanayoiita ya chuo, utaweza kujiunga 4GB kwa 2000 per wiki then baada ya hapo huwezi kujiunga tena ile menu wanaiondoa, watu wengi sana wameuziwa laini kwa ujanja huo hasa ukienda sehemu za town kama K/Koo ndio michezo yao watoto wa mujini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ni mjini
Tigo wanauza laini zao kwa ujanja huo siku hizi.
Kinachofanyika ni kukuuzia laini wanayoiita ya chuo, utaweza kujiunga 4GB kwa 2000 per wiki then baada ya hapo huwezi kujiunga tena ile menu wanaiondoa, watu wengi sana wameuziwa laini kwa ujanja huo hasa ukienda sehemu za town kama K/Koo ndio michezo yao watoto wa mujini

Sent using Jamii Forums mobile app
Loo basi na mimi wamenikamata juzi mkuu, washenz sana hawa tigo, nilifurahia nikijua kuwa ndio itakuwa hvyo kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom