Yaani tangia jana nimekua na kilio na vodacom kwa upande wa internet, nimejiunga zaid ya mara nne kwa kifurufu cha wiki lakin kila nianza kutumia hata dk haiishinapata msg mb zimekata.
Leo tena hivyo hivyo halafu mbaya zaid hawa customee services hawana msaada napiga kulalamika wanaema itakua unaangalia video zenye quality sana.
Jamani hata hiyo kwa quality ndo 1.5 GB ukiweka tu hata dk moja haiishi imekata, let us all say no kwa wizi huu saizi nimejaribu tigo nione ila voda sirudi tena.
Leo tena hivyo hivyo halafu mbaya zaid hawa customee services hawana msaada napiga kulalamika wanaema itakua unaangalia video zenye quality sana.
Jamani hata hiyo kwa quality ndo 1.5 GB ukiweka tu hata dk moja haiishi imekata, let us all say no kwa wizi huu saizi nimejaribu tigo nione ila voda sirudi tena.