Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Umesahahu kumwambia kuwa TRA wana bei zao....hiyo CIF yako toka Japan weka pembeni.....hayo mahesabu yaliyotolewa hapo juu yatakusaidia kukupa picha itakavyokuwa.......lakini jiandae na bei watakayoweka TRA ndiyo itakayopigiwa hesabu hizo hapo juu
Mkuu naona hapa unapotosha kidogo......TRA hawana bei yao, in principle inatakiwa waanzie kny CIF value kucalculate taxes zote kuarrive at total taxes payable, sasa kama wewe documents zako hazieleweki, ni forged etc ndio wanafanya uplifting ya CIF na sio vinginevyo.....! refer post ya Mpendanchi!