Banana country!!

Banana country!!

Mimi naona hapo ni kisiwa cha Pemba. Kwa zile ndizi za mkono wa tembo ndio kwenyewe. Lol.
 
Wakuu hapo ni baada ya Kiwira, kabla ya mto Kiwira just before kuanza kupanda milima sehemu inaitwa "Uwanja wa ndege".
Kama unavyoona ni mvua siku hiyo(kwenye kioo) na nilipaki kununua ndizi kwa ajili ya safari ya kurudi Dar siku ya pili.
<!-- google_ad_section_end -->

mia zooooote
 
hapo ni kampala karibu na mabira forest kabla ya JINJA
 
Back
Top Bottom