Tuko pamoja mkuu.Mimi nawaombea mabaya arsenal maana hatukai kwa amani mashabiki zao wamekua tatizo
Kwanza rejesha zile IDs zako zingine 9 kabla ya kula ban ili twende sawa.
Usiogope mi nitakushawishi na hakika utapenda timu mojawapo nzuri sana ya Uingereza kuliko unavyoihusudu MakolokoloNitawakumbusha wakisahau...
By the way sio mshabiki wa any of them
Mimi ni mlivapu...Usiogope mi nitakushawishi na hakika utapenda timu mojawapo nzuri sana ya Uingereza kuliko unavyoihusudu Makolokolo
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mbona ghafla ghafla tena hivyo Mama?Mimi ni mlivapu...
Any of them..means the teams mentioned there at the post..Arsenal and Man cityMbona ghafla ghafla tena hivyo Mama?
Huu ujumbe uliuandika ukiwa unaota?
"Nitawakumbusha wakisahau...
By the way sio mshabiki wa any of them"
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Duuuh...! Mbona kama umeniacha njia panda Mama, sijui itakuwaje tena na kiingereza changu hiki cha Rasi Simba?Any of them..means the teams mentioned there at the post..Arsenal and Man city
Mmhhh ww si unaongea mpk kispanyora...Duuuh...! Mbona kama umeniacha njia panda Mama, sijui itakuwaje tena na kiingereza changu hiki cha Rasi Simba?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Haya bhana...! Nnje ya mada kesho utakaa wapi Mama? nataka niwe nakupepea kwa presha utayokuwa nayo wakati Simba ikicheza na Widad Casablanca...Mmhhh ww si unaongea mpk kispanyora...
Najua umeelewa lakini hata kwa kiswahili hapo inafaa kusoma..
Mhh utapata ww presha kwa utakachokiona..ila mimi nitalala mapemaaHaya bhana...! Nnje ya mada kesho utakaa wapi Mama? nataka niwe nakupepea kwa presha utayokuwa nayo wakati Simba ikicheza na Widad Casablanca...
Haha...haya bhana, ila Kalpana ulianzaje kushabikia timu la washamba Simba badala ya Yanga, hujui utaulizwa na aliyekujalia neema za u-pisi kali kwanini ulitumia vibaya akili?Mhh utapata ww presha kwa utakachokiona..ila mimi nitalala mapemaa