Bamutu ya Kongo nyakati zimebadilika

bahati93

JF-Expert Member
Aug 6, 2015
1,141
2,018
Aaahem

Muda siku zote waenda mbele, muda hausubiri mtu, na katika kwenda kwake mbele Muda huja na mabadiliko. Ole wao wale wanaopingana na sheria hii ya mda kwa kukataa kukubali uhalisia kwamba zama zao sasa zaingia machwewo, hivyo kuweka ukinzani kuendelea kufanya mambo yao kama walivyokuwa wanafanya siku zote huko zamani. ni huzuni kwa kweli kwa mwanadamu yoyote pale anapokuta yupo mie ya nyakati... sasa Wote ni mashaidi kwa kushuhudia fashion/mitindo mingi zikija na kupita. Sasa leo nataka kuongelea mtindo wa kucheza kwa kukata viuno hadharani kwa wanaume. Kucheza sebene.. Ama dance..

Huu ni mtindo ambao ulikuwa ndio namna ya kucheza kwa miaka mingi Africa kabda ya 2010s, sasa kutokana na nguvu za utandawazi, dunia kama kijiji, kuna mambo yanatokea Yanayohatarisha mwanaume achezayee kwa staili za kukatikaa.

Mfano dume zima una ndefuu unakata mauno uku ukipiga mayowee " iiiiiyooo" si ridhiki kabisaa kwa hizi nyakati za 5G. .. Wakongoo wabadilii tu staili za kuchezaaa kwa namna nyingine tu wanaweza fanya ila kama Wakiendelea wanakuwa anomaly kwenye hizi nyakati za majaribio.

Kwa kufanya hivyo watakuwa sio tanaduni ya kwanza kubadili mtizamo kutokana na utandawazi, mifano ipo mingi kama bodybuider board IFBB kutoa pozi la kuputuka ikiwa kama njia ya kutojihusisha na wakwamparange, au kama koo ya Mboro kutoka uchagani kuachana na jina lao.

Hivyo basi bakongo muaje kukataa mauno shauri zenu watu wa mataifaa wasije wachukulia vinginevyo. Sheria unaruhusiwa endapo upo ndani ya kuta nne uwanja wa fundi seremala.
download.jpeg
 
Aaahem

Muda siku zote waenda mbele, muda hausubiri mtu, na katika kwenda kwake mbele Muda huja na mabadiliko. Ole wao wale wanaopingana na sheria hii ya mda kwa kukataa kukubali uhalisia kwamba zama zao sasa zaingia machwewo, hivyo kuweka ukinzani kuendelea kufanya mambo yao kama walivyokuwa wanafanya siku zote huko zamani. ni huzuni kwa kweli kwa mwanadamu yoyote pale anapokuta yupo mie ya nyakati... sasa Wote ni mashaidi kwa kushuhudia fashion/mitindo mingi zikija na kupita. Sasa leo nataka kuongelea mtindo wa kucheza kwa kukata viuno hadharani kwa wanaume. Kucheza sebene.. Ama dance..

Huu ni mtindo ambao ulikuwa ndio namna ya kucheza kwa miaka mingi Africa kabda ya 2010s, sasa kutokana na nguvu za utandawazi, dunia kama kijiji, kuna mambo yanatokea Yanayohatarisha mwanaume achezayee kwa staili za kukatikaa.

Mfano dume zima una ndefuu unakata mauno uku ukipiga mayowee " iiiiiyooo" si ridhiki kabisaa kwa hizi nyakati za 5G. .. Wakongoo wabadilii tu staili za kuchezaaa kwa namna nyingine tu wanaweza fanya ila kama Wakiendelea wanakuwa anomaly kwenye hizi nyakati za majaribio.

Kwa kufanya hivyo watakuwa sio tanaduni ya kwanza kubadili mtizamo kutokana na utandawazi, mifano ipo mingi kama bodybuider board IFBB kutoa pozi la kuputuka ikiwa kama njia ya kutojihusisha na wakwamparange, au kama koo ya Mboro kutoka uchagani kuachana na jina lao.

Hivyo basi bakongo muaje kukataa mauno shauri zenu watu wa mataifaa wasije wachukulia vinginevyo. Sheria unaruhusiwa endapo upo ndani ya kuta nne uwanja wa fundi seremala.
View attachment 2935561
Nonsense!...

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Aaahem

Muda siku zote waenda mbele, muda hausubiri mtu, na katika kwenda kwake mbele Muda huja na mabadiliko. Ole wao wale wanaopingana na sheria hii ya mda kwa kukataa kukubali uhalisia kwamba zama zao sasa zaingia machwewo, hivyo kuweka ukinzani kuendelea kufanya mambo yao kama walivyokuwa wanafanya siku zote huko zamani. ni huzuni kwa kweli kwa mwanadamu yoyote pale anapokuta yupo mie ya nyakati... sasa Wote ni mashaidi kwa kushuhudia fashion/mitindo mingi zikija na kupita. Sasa leo nataka kuongelea mtindo wa kucheza kwa kukata viuno hadharani kwa wanaume. Kucheza sebene.. Ama dance..

Huu ni mtindo ambao ulikuwa ndio namna ya kucheza kwa miaka mingi Africa kabda ya 2010s, sasa kutokana na nguvu za utandawazi, dunia kama kijiji, kuna mambo yanatokea Yanayohatarisha mwanaume achezayee kwa staili za kukatikaa.

Mfano dume zima una ndefuu unakata mauno uku ukipiga mayowee " iiiiiyooo" si ridhiki kabisaa kwa hizi nyakati za 5G. .. Wakongoo wabadilii tu staili za kuchezaaa kwa namna nyingine tu wanaweza fanya ila kama Wakiendelea wanakuwa anomaly kwenye hizi nyakati za majaribio.

Kwa kufanya hivyo watakuwa sio tanaduni ya kwanza kubadili mtizamo kutokana na utandawazi, mifano ipo mingi kama bodybuider board IFBB kutoa pozi la kuputuka ikiwa kama njia ya kutojihusisha na wakwamparange, au kama koo ya Mboro kutoka uchagani kuachana na jina lao.

Hivyo basi bakongo muaje kukataa mauno shauri zenu watu wa mataifaa wasije wachukulia vinginevyo. Sheria unaruhusiwa endapo upo ndani ya kuta nne uwanja wa fundi seremala.
View attachment 2935561
Unaijua Rhumba wewe. Kuna nyimbo kuzielewa hadi uwe na hadhi na aina fulani ya maisha. Wewe ni Mtoto wa 2000 hujui usemalo, sio kila wimbo unakata viuno.
Kamsikilize Fayya Tess au Nzelle ya Madilu kisha uandike upya
 
Mitaa tuliokulia sisi kule Temeke mtoto wa kiume akikatika mauno kama Fally Ipupa wahuni hawawezi kumuacha salama. Kuna mambo ukifanya kwenye area code nyingine ni utovu wa nidhamu.
 
Back
Top Bottom