Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,488
- 7,938
Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, David Concar akihojiwa kuhusu Uganda kupitisha sheria ya ushoga, amesema nafasi ya Uingereza juu ya haki za LGBT+ duniani iko wazi.
"Tunaunga mkono haki za makundi yote kutendewa kwa usawa na wasibaguliwe. Makundi yenye watu wachache ikiwemo jamii ya LGBT+ wana haki ya kutendewa kwa usawa na wasikutane na ubaguzi.
Nafasi ya Uingereza juu ya sheria ya Uganda iko wazi, hatukubaliani na sheria husika na hatudhani kama inafuata haki za kibinadamu na viwango vya dunia.
Serikali zinatakiwa kuzingatia nafasi ya watu wanaowafadhili na kuwapa jukwaa ambalo wanaweza kufanya kazi duniani. Hii inamaanisha endapo baadhi ya mistari itavukwa, maamuzi magumu yanahitaji kufanyika.
Hakuna anaefurahi taasisi inapofanya maamuzi magumu lakini muda mwingine ni lazima. Tunaamini jambo hili litasuluhishwa lakini tunatambua kuna hisia kali kwa pande zote"
Alisema Balozi
============
During an exclusive interview with The Citizen, British High Commissioner to Tanzania, David Concar, was asked about the concern that Western aid comes with stringent rules that require developing countries to conform to certain ideals or standards, in the absence of which access to such financial aid is frozen. Taking the case of Uganda, the envoy was asked whether the need to conform to certain principles trumps the dire requirements of the Ugandan people.
His response: "The UK’s position on LGBT+ rights around the world is very clear. We support the rights of all groups to be treated fairly and not face discrimination. The Universal Declaration of Human Rights covers such rights. All minorities, including the LGBT+ community, deserve to be treated equally and not be subject to discrimination. The UK’s position on Uganda’s legislation is clear; we disagree with that legislation, and we do not think it’s in line with meeting human rights commitments and standards around the world.
Governments need to take into account the position of the people who finance them and give them the platform on which they operate around the world. That means that once certain lines are crossed on human rights, difficult decisions will have to be made.
No one is happy when institutions have to make such tough decisions, but sometimes it is necessary. We hope that things can be resolved on the issue, but we recognize that there are strong feelings on both sides."
The Citizen
"Tunaunga mkono haki za makundi yote kutendewa kwa usawa na wasibaguliwe. Makundi yenye watu wachache ikiwemo jamii ya LGBT+ wana haki ya kutendewa kwa usawa na wasikutane na ubaguzi.
Nafasi ya Uingereza juu ya sheria ya Uganda iko wazi, hatukubaliani na sheria husika na hatudhani kama inafuata haki za kibinadamu na viwango vya dunia.
Serikali zinatakiwa kuzingatia nafasi ya watu wanaowafadhili na kuwapa jukwaa ambalo wanaweza kufanya kazi duniani. Hii inamaanisha endapo baadhi ya mistari itavukwa, maamuzi magumu yanahitaji kufanyika.
Hakuna anaefurahi taasisi inapofanya maamuzi magumu lakini muda mwingine ni lazima. Tunaamini jambo hili litasuluhishwa lakini tunatambua kuna hisia kali kwa pande zote"
Alisema Balozi
============
During an exclusive interview with The Citizen, British High Commissioner to Tanzania, David Concar, was asked about the concern that Western aid comes with stringent rules that require developing countries to conform to certain ideals or standards, in the absence of which access to such financial aid is frozen. Taking the case of Uganda, the envoy was asked whether the need to conform to certain principles trumps the dire requirements of the Ugandan people.
His response: "The UK’s position on LGBT+ rights around the world is very clear. We support the rights of all groups to be treated fairly and not face discrimination. The Universal Declaration of Human Rights covers such rights. All minorities, including the LGBT+ community, deserve to be treated equally and not be subject to discrimination. The UK’s position on Uganda’s legislation is clear; we disagree with that legislation, and we do not think it’s in line with meeting human rights commitments and standards around the world.
Governments need to take into account the position of the people who finance them and give them the platform on which they operate around the world. That means that once certain lines are crossed on human rights, difficult decisions will have to be made.
No one is happy when institutions have to make such tough decisions, but sometimes it is necessary. We hope that things can be resolved on the issue, but we recognize that there are strong feelings on both sides."
The Citizen