Balozi wa Marekani akutana na Katibu mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Lumumba jijini Dar es Salaam

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,150
Balozi wa Marekani nchini leo amekutana na Katibu mkuu wa CCM katika ofisi ndogo ya chama Lumumba jijini Dsm.

Taarifa rasmi ya walichozungumza Dr Bashiru na balozi huyo wa dunia zitaletwa.

Source Watetezi tv

7f63e7e7-9043-4b45-bc1c-ec47ab6adf38-768x512.jpg

f93430c3-6e7c-4974-a3f4-7a2e8b3e044d-1-768x512.jpg

Maendeleo hayana vyama!
 
Balozi wa Marekani nchini leo amekutana na Katibu mkuu wa CCM katika ofisi ndogo ya chama Lumumba jijini Dsm.

Taarifa rasmi ya walichozungumza Dr Bashiru na balozi huyo wa dunia zitaletwa.

Source Watetezi tv

Maendeleo hayana vyama!
Vipi Bashiru ameongea nini na Bashiru?
Je muuza ndizi ameongea kingereza au ameshindwa kuongea kama boss wao?
 
Hahaha Magufuli ana kimbia, huu ni muda wa kampeni yeye ndiye mgombea alipaswa aonekane huko.

ITV aliongea Bashiru, kwa balozi anaenda Bashiru yeye anaogopa nini?!

Kwanini asiende Polepole ndiye msemaji wa ccm?!
Acha kumfananisha rais na vitu vya kijinga
 
Back
Top Bottom