johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,992
- 142,008
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Komredi Makonda amekutana na Mkuu wa Majeshi mstaafu General Mabeyo jijini DSM na kuibadilishana mawazo.
------
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Paul Makonda amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Majeshi Mstaafu Generali Venance Mabeyo Jijini Dar es salaam.
Huu ni mfufulizo wa Paul Makonda kukutana na viongozi wa kada mbalimbali toka alipoteuliwa na Chama Cha Mapinduzi kukitumikia chama hicho hivi karibuni.
Source: Clouds TV