Balozi Mahiga: Tumepokea ripoti za Amnesty International Human Rights watch na tutajibu kipengele kwa kipengele

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,387
142,632
Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Mahiga amesema wameshapokea ripoti za Amnesty International na Human rights watch na wameshaanza kuzifanyia kazi.

Balozi Mahiga amesema kuna baadhi ya mambo walishayatolea maelezo huko nyuma na mengine yaliyobaki watayajibu mstari kwa mstari.

Dr. Mahiga amemalizia kwa kusema Serikali inaichukulia ripoti hii kwa uzito mkubwa sana na majibu yatatolewa kwa muda muafaka.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia

-------
Kuhusu hiyo ripoti, soma

 
Hivi Waziri Mahiga bado ni Waziri wa Mambo ya Nje?

Juzi nilimuona akitolea ufafanuzi mambo ya China nikashangaa, Waziri wa Katiba na Sheria anafanya kazi ya Waziri Kabudi nikajiuliza au Magufuli alikurupa kumuondoa jamaa?.
 
Daah nimemiss makala za Jenerali Ulimwengu kwenye Raia mwema enzi za utawala wa Kikwete. Naona uhuru wa kuandika maoni huru umebanwa kiasi kwamba werevu hawandiki tena makala.....
Hivi Waziri Mahiga bado ni Waziri wa Mambo ya Nje?

Juzi nilimuona akitolea ufafanuzi mambo ya China nikashangaa, Waziri wa Katiba na Sheria anafanya kazi ya Waziri Kabudi nikajiuliza au Magufuli alikurupa kumuondoa jamaa?.
 
hawana la kujibu anajisebudua tu

Amesema hivyo ili kushusha pressure ya wachangiaji wa mitandaoni, lakini pressure ikishuka na wao watapotezea. Ni kama ule utapeli wa tume ya waziri mkuu kuhusu ajali ya moto wa mafuta kule Morogoro. Ni bahati mbaya hamna mpinzani anayeweza kuitisha vyombo vya habari na kupandisha utambi kwenye hiyo ripoti.
 
Daah nimemiss makala za Jenerali Ulimwengu kwenye Raia mwema enzi za utawala wa Kikwete. Naona uhuru wa kuandika maoni huru umebanwa kiasi kwamba werevu hawandiki tena makala.....

Mbona anaandika sana kwenye The East African, then Huyo ulimwengu ni tapeli tu, awadanganye wasiomfahamu.
 
IMG_20191028_222924.jpeg
 
Hivi Waziri Mahiga bado ni Waziri wa Mambo ya Nje?

Juzi nilimuona akitolea ufafanuzi mambo ya China nikashangaa, Waziri wa Katiba na Sheria anafanya kazi ya Waziri Kabudi nikajiuliza au Magufuli alikurupa kumuondoa jamaa?.
Wewe ni mgeni nchi hii huwa huoni waziri wa ujenzi anavyonjifanya raisi anateuwa mawaziri na kutumbua! Duh nimekosea raisi anajifanya waziri wa ujenzi anasimamia ubomoaji nyumba zilizojengwa zinakojengwa barabara bila kilipa fidia
 
Daah nimemiss makala za Jenerali Ulimwengu kwenye Raia mwema enzi za utawala wa Kikwete. Naona uhuru wa kuandika maoni huru umebanwa kiasi kwamba werevu hawandiki tena makala.....
"Thinking is prohibited", Prof. Mwaikyusa.
 
Amesema hivyo ili kushusha pressure ya wachangiaji wa mitandaoni, lakini pressure ikishuka na wao watapotezea. Ni kama ule utapeli wa tume ya waziri mkuu kuhusu ajali ya moto wa mafuta kule Morogoro. Ni bahati mbaya hamna mpinzani anayeweza kuitisha vyombo vya habari na kupandisha utambi kwenye hiyo ripoti.
Achana na utapeli wa waziri mkuu huyu utapeli wake sawa na wale wa ile hela tuma namba hii itatoa jina fisiemu nilishindwa kusajili namba yangu kwa kuwa vidole vimechoka kwa kusugua masufuria yeye siyo waziri wa mambo ya nje hapswi kujibu
 
Back
Top Bottom