Balozi Lusinde: Lowassa Safi na Anatosha

Balozi Lusinde: Lowassa Safi na Anatosha

Mzee Lusinde anazunguzmia uhalisia na sio unafiki maana anamfahamu lowassa na mchapakazi mahiri na anayeweza kuthubutu bila ajizi na record yake imejaa ucgapakazi mzuri tu,kila tu Richmond tu kwenye Richmond lowassa ndo alikataa hiyo company lakini mkumbuke nchi ilikuwa gizani kipindi kile na zaidi mtambo huyo wa Richmond ndio unafanya kazi mpaka leo,mie nadhani tujikite kwamba kwenye za msingi za kuwakwamua watanzania na u maskini na sio hoja mfu
 
LUSINDE😛ROF MUHONGO NI SAFI.Balozi Job Lusinde ambaye ni miongon mwa waasisi wa chama cha mapinduz ,amesema Prof Muhongo ni mtu safi ,anayefaa kuwa Rais wa nchi hii.Akiongea na Jambo leo ,Balozi huyo mkongwe wa chama cha mapinduz amesema Prof Muhongo ni mchapa kazi na mwadilifu sana .Amesema kuna watu wanapita maeneo mbalimbali wakiwa na lengo la kumchafua ,lakin wameshindwa kuwa na hoja kuwa Muhongo alifanya nn kibaya.Aliongeza kuwa mambo haya ya kuwachafua watu wanaoonekana wahadlilifu yalikuwepo toka siku za nyuma lakin mwishowe ,anakuja kuwa Rais.
 
Ni Kweli Prof. Muhongo Ni Msafi Maana Kwenye scandal ya Tegeta Escrow. Hakuna hata Chembe ya yeye Kuhusika. Kuresign kwa Maslahi Mapana ya nchi ni tendo la Kiungwana kwa hatua ilipokuwa imeika ,Kwa Maana ilifika mahala mtu Mziima akaamua Kuresign ili nchi itulie.

Kumbuka Rais Mstaafu Mwinyi aliresign pia kwaMaslahiMapana ya Nchi na Kuonyesha Ukomavu Kisiasa.Kimsingi Prof. Muhongo ni Msafi, Mchapakazi na Mtu Mweyeuthubutu. He is a visionary Leader, so we must not let him go.
 
Ni Kweli Prof. Muhongo Ni Msafi Maana Kwenye scandal ya Tegeta Escrow. Hakuna hata Chembe ya yeye Kuhusika. Kuresign kwa Maslahi Mapana ya nchi ni tendo la Kiungwana kwa hatua ilipokuwa imeika ,Kwa Maana ilifika mahala mtu Mziima akaamua Kuresign ili nchi itulie.

Kumbuka Rais Mstaafu Mwinyi aliresign pia kwaMaslahiMapana ya Nchi na Kuonyesha Ukomavu Kisiasa.Kimsingi Prof. Muhongo ni Msafi, Mchapakazi na Mtu Mweyeuthubutu. He is a visionary Leader, so we must not let him go.

Je waliolipwa kupitia Stanbicbank Tanzania bank unawajua?
 
Karibia wazee wote wa CCM wanamuunga mkono Lowassa, ni wazi kumzuia huyu mtu haiwezekani..... Asante Balozi Lusinde kwa kuungana na wananchi katika safari yao ya matumaini

nahisi hawa wazee wamechanganyikiwa mawazo yao yote ya mfuko wa lohasa
 
kwa sasa wazee wa kulisaidia taifa ndani ya ccm ni wachache sana wengi wamemsaliti mwalimu.
 
Balozi Lusinde uko sahihi,acheni chuki binafsi ebo,lowassa chukua. Nchi Sir.
 
...Kuna watu wanawanunua wanachama wa CCM,Watanzania eti ionekane wanapendwa na kukubalika....Lakini,hizi pesa wanazitoa wapi? wanafanya biashara gani? kopi wanalipa wapi? biashara zao ziko wapi? hata kama ni marafiki anakupa hizo fedha,utazirudishaje? :WASSIRA
 
Sizishangai comments za Bwana Lusinde kwa kuwa ana haki ya kutoa mawazo yake.Lakini mawazo yake yanagongomea msumari wa moto kwenye vidonda ambavyo wananchi wa Tanzania wamevipata kutokana mfumo kandamizi wa CCM kwa muda mrefu.Lusinde ameshindwa kabisa kusoma alama za nyakati.Nampa pole.
ocampo four
 
Last edited by a moderator:
Huo Ubalozi alipewa kama njugu unategemea nini? Hii nchi imefika hapa ilipo kutokana na wajinga kuwa wengi ambao hawakustahili kuwa hapo walipo. Wezi wakubwa.
 
Tumuamini nani kati ya Lusinde na Nyerere?

hivi hamuoni aibu kumtaja marehemu? JKN amekuwa reference kwa kila jambo??
kumbuka mwl alikuwa binadamu kama ww, mbna naye alikosea mambo mengi tu?
go go go EL
 
Duuh,watu mnatulazimisha na huyo Lowassa wenu....I really don get it!
 
Back
Top Bottom